BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Huu ni mwaka wa ngapi Mkuu hatujashinda kombe lolote ukiondoa lile kombe mbuzi la mwaka juzi? Tuna timu nzuri sana mwaka huu ya kuweza kula sahani moja na Chelsea lakini ndiyo wanatutupa mkono kwa sababu tu ya kukosa mikakati ya kimchezo ili kuhakikisha ushindi kila mara tunapokuwa ugenini au nyumbani. Nina imani kubwa kama tusingeamua kulinga goli moja na kucheza attacking football tungeweza kuongoza goli moja hata mawili na hivyo kuwavunja nguvu kabisa MANC pamoja na kuwa walikuwa kwao.
Lakini BAK, wiki iliopita wakati mnaongoza ligi hamkuwa na mawazo ya kumtoa Wenger. Ila baada ya kurudi nafasi yenu ya 4 ndo hayo mawazo yameanza kuja. Kwanini?
@tomwfootball
