McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,561
Ngoja Tuone Sizan Kama Ataweka Full Mziki
Na iwe ivyo aiseeeee.
Ngoja Tuone Sizan Kama Ataweka Full Mziki
Ila huyu AW anakuwaga na maamuzi ya ajabu sana,Kwahyo anahisi hapo SUB yake imetimia!!Ngoja tuone mwisho wake labda wasiwasi wangu tu![]()
Ivi ndivyo tunavyoenda leo angalau presha sio ya kutisha AW kaona mbali.
Ila huyu AW anakuwaga na maamuzi ya ajabu sana,Kwahyo anahisi hapo SUB yake imetimia!!Ngoja tuone mwisho wake labda wasiwasi wangu tu

.
Kwa line up ambayo AW ameipanga dhidi ya Timu ambayo kwenye EP Arsenal waliifunga kwa kupewa penalty dakika ya mwisho, kuna mtu alitegemea Arsenal ingaliweza kuifunga Southampton leo ?Ngoja nikalale...... Nitafuatilia matokeo kesho manake huyu AW si wa kumuamini kabisa, tushapigwa
AW inKwa line up ambayo AW ameipanga dhidi ya Timu ambayo kwenye EP Arsenal waliifunga kwa kupewa penalty dakika ya mwisho, kuna mtu alitegemea Arsenal ingaliweza kuifunga Southampton leo ?
AW is not serious, at all! Mou alimtania na kumwambia nini vile? .....failure, something.
Mou atapata at least kikombe cha mbuzi cha kumlindia kibarua OT.
Mou mechi kama hizi hatumi mtoto.
Wenger in or out?
Mkuu umeona nilichokuwa na wasiwasi nacho??Kama tulikuwa tunahitaji ushindi jana ni lazima tungeonesha hilo kuanzia kwenye upanganji wa kikosi chetu.Mpwa hapo mbona mimi naona poa au ulitaka Alexis,Ozil and the like wamjulishwe kwenye kikosi?