Mbu is always around, kama malaria vile![]()
Khe kheeee Kheeeeeeeee dah! Sikuamini macho yangu! Naona uko busy kusambaza Malaria. Nimefurahia kukutia machoni na salam zangu kwa yule MwanajamiiOne nakuomba uzifikishe.
Ha ha ha! Chifu, umefufuka?
Duh! Kumbe sikuwa mstaarabu?!
Ha ha ha! Chifu, umefufuka?


,......mbona nipo sana tu, sema nawasoma kimya kimya, siku hizi hamtusumbui tena, 7th spot kwenye league table mmeikamata kwa nguvu zote!
Mbu is always around, kama malaria vile
Hahaha pamoja sana mkuu..