Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread


gun__1480345077_xhakaelneny.jpg


Prof ana-develop Granit Xhaka/Elneny axis ... ..... Ding ...Dong
 
upload_2016-11-28_19-17-55.png


Alexis na Theo ... ...

upload_2016-11-28_19-18-36.png


Kitaeleweka tu mwaka huu .... .... .[HASHTAG]#COYG[/HASHTAG]
 
Next EFL cup Southampton - Emirates J5 ..... ....... ....... [HASHTAG]#COYG[/HASHTAG]
 
Kinachofurahisha kwa mashabiki wa Arsenal ni, as long as wako top four basi wao roho kwatu. Nawatamania sana na kuridhika kwenu. Mimi tukimaliza wa pili bado naumia...
 
Kinachofurahisha kwa mashabiki wa Arsenal ni, as long as wako top four basi wao roho kwatu. Nawatamania sana na kuridhika kwenu. Mimi tukimaliza wa pili bado naumia...
Mr bean alishasema kucheza uefa ni zaidi ya kuchukua EPL, na mashabiki wao walivo na akili za kushikiwa walimuunga mkonyo na wako nae sambamba
[HASHTAG]#inwengertheytrust[/HASHTAG]
 
Wakati wenzetu wana tathmini wamechezaje mechi 13 za ligi msimu huu, tusisa
Kinachofurahisha kwa mashabiki wa Arsenal ni, as long as wako top four basi wao roho kwatu. Nawatamania sana na kuridhika kwenu. Mimi tukimaliza wa pili bado naumia...
Watu wa mafuriko ya jangwa la Sahara bwana mna mambo. Muda si mrefu mtaanza kumtukana Muitaliano kama Mlivyowatukana wengine. Subiri jua litoke mafuriko yataisha.
 
Arsenal scored ten goals from just eleven shots on target in November

upload_2016-11-29_19-8-3.png

Arsenal can give themselves a pat on the back for coming through their traditional bogey-month of November relatively unscathed, and with a superbly prolific scoring record proving the catalyst to their survival.
The Gunners have remained unbeaten in their five games so far this month, though they have one more tricky test in the EFL Cup against Southampton on Wednesday night. So far in November, Arsenal have won two and drawn three of their matches, with all three of those stalemates coming against tough opposition in Tottenham, Manchester United and Paris Saint-Germain.

upload_2016-11-29_19-9-59.png


Wenger’s side remain unbeaten in their last 19 games
Incredibly, in this run they’ve scored ten goals from just eleven shots on target – a highly efficient conversion rate of 90.09%. Despite being up against it in their last two games, Arsenal scored with every one of their shots on target against Manchester United and Bournemouth to take four points when in the past they may well have taken only one, or even none. Arsenal surely won’t keep that kind of accuracy up, but it’ll be hugely encouraging for Arsene Wenger, who has for so long had his team criticised for ‘trying to walk the ball into the back of the net’, to see his team just get the job done when they’ve not been playing at their best. If the north Londoners return to the free-flowing football we saw earlier in the season, the goals should flow a little more easily from this point onwards.

Ding .... Dong. [HASHTAG]#COYG[/HASHTAG]
 
Kinachofurahisha kwa mashabiki wa Arsenal ni, as long as wako top four basi wao roho kwatu. Nawatamania sana na kuridhika kwenu. Mimi tukimaliza wa pili bado naumia...

Wacha kelele wewe Chelsick mmeanza kuchukua vikombe baada ya mwizi Abraham vick kununua club chacha kono mbele ... .khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Wacha kelele wewe Chelsick mmeanza kuchukua vikombe baada ya mwizi Abraham vick kununua club chacha kono mbele ... .khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Hahaha nyie hamuwezi kuiba? khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Sina matumaini na ushindi mechi ya leo. Na sitanung'unika tukitolewa, majeuhi yanaongezeka kila mechi, tukiondolewa itasaidia kutupa muda wa kupumzika .

League cup na International break hua nazichukia vibaya mno yanaleta injuries na uchovu wa kibwege sana ni game ambazo zinanipa wakati mgumu kuwaangalia wachezaji wa Arsenal natamani AW apeleke squad ya 3 tu liwalo na liwe.
 
League cup na International break hua nazichukia vibaya mno yanaleta injuries na uchovu wa kibwege sana ni game ambazo zinanipa wakati mgumu kuwaangalia wachezaji wa Arsenal natamani AW apeleke squad ya 3 tu liwalo na liwe.

Ngoja Tuone Sizan Kama Ataweka Full Mziki
 
Back
Top Bottom