Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa line up ambayo AW ameipanga dhidi ya Timu ambayo kwenye EP Arsenal waliifunga kwa kupewa penalty dakika ya mwisho, kuna mtu alitegemea Arsenal ingaliweza kuifunga Southampton leo ?
AW is not serious, at all! Mou alimtania na kumwambia nini vile? .....failure, something.
Mou atapata at least kikombe cha mbuzi cha kumlindia kibarua OT.
Mou mechi kama hizi hatumi mtoto.

Wenger in or out?
Huyo mzee hajawahi kuwa serious
 
Huyo mzee hajawahi kuwa serious
Mzee Wenger ni mtu wa ajabu sana!
Hana uhakika wa kuchukua EPL,FA, WALA CHAMPIONS LEAGUE na alibakiza mechi tatu kushinda angalau taji,na bado ameshindwa kua sirias!huyu Mzee tukubali tukatae ameshachoka!

Tunataka mtu awe na mzuka na hamu ya kufanikwa Si tu kwenye kuiingizia club pesa bali pia kushinda makombe,na kushinda makombe kunahitaji usirias wa kiwango cha juu sana ambao kila nnapomwangalia Mzee Wenger simuoni nao.
 
hahaha...........Loh wafiwa hawa walijisahau kuwa kila mwenye mwili ataonja umauti.
Jamani tuliambiana tuje tuwape pole tu hayo maneno mengine yanawaumiza kweli ila ndio haki hiyo wacha turejee kwetu kuzuri leo huwezi kuwaona kule.
 
muosha huoshwa..........ila ngoja niache.
poleni sana wapendwa.......tuko pamoja.
Heeeeeee!!!! Naona mmeamua kuja kushinda kabisa chama chenu kizuri kweli cha kufa na kuzikana .........Kuna kale kajamaa kalikovaa suti kanashinda Kwetu umekaona? Mwambie nimemletea zawadi ya ua..
Jamani tuliambiana tuje tuwape pole tu hayo maneno mengine yanawaumiza kweli ila ndio haki hiyo wacha turejee kwetu kuzuri leo huwezi kuwaona kule.
 
Back
Top Bottom