Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

2672.jpg

Xhaka misses a chance.
 
2292.jpg

Koscielny fouls Dembele resulting in a penalty.
 
Anao anao nyingi sana wakati mwingine pasi zetu zinapitiliza na kutukosesha magoli na ushindi katika mechi nyingi. Unakuta tunapasiana hata pale ambapo hapastahili kupasiana na matokeo yake kuwapa nafasi defence ya wapinzani kujipanga na hivyo kuongeza ugumu wa kupenetrate defence yao. Tulistahili kabisa kushinda leo uzembe wetu umetukosesha nafasi ya juu kileleni.
 
Tumemiss a really big chance ya kuwa kileleni considering Liverpool na Utd wanashinda mechi zao za leo. Gundu la November limeshakita kisigino. Anyway up to the next game against manyang'au wa Old Trafford. Msimu huu Arsenal wanacheza vizuri Away kuliko Emirates, nategemea ushindi Old Trafford.
 
Mourinho alisema nini juu ya refa huyu? Nikumbushe. Vile vile ni jinsi gani kocha anavyosema sio kuropoka kama Mourinho afanyavyo.
Niko busy now nagawa dozi tutaonana next game OT
 
Tumemiss a really big chance ya kuwa kileleni considering Liverpool na Utd wanashinda mechi zao za leo. Gundu la November limeshakita kisigino. Anyway up to the next game against manyang'au wa Old Trafford. Msimu huu Arsenal wanacheza vizuri Away kuliko Emirates, nategemea ushindi Old Trafford.
Hata leo kabla ya mechi ulitegemea ushindi
 
Hata leo kabla ya mechi ulitegemea ushindi

Leo nilitegemea draw kabla ya mechi angalia post zangu tangu nadhani jana na saa moja kabla ya mechi. Mnatoa dozi kwa wenye kocha wa basketball. What a surprise!
 
Too many games ahead. Liverpool, Chelsea watapoteza a good form at some point. Ngoja hii nuksi ya November ipite. I take 5 points from our November games Spurs, Manchester United & Bournemouth if given yesterday.
 
Jamani nani anajua au kashasikia status ya Santi.. Missing the magician...
 
Acha zako ww,unaleta historia hapa kwendaaaaaaaaaaaaaa
Unauliza tuna mpira gani ?????hovyo kabisa wewe epl nzima kuna timu inatandaza soka safi kama arsenal??!!??kama hujui uwe unakaa kimya kuropokaropoka unajiaibisha dada yangu
Arsenal tunatandaza mpira Epl nzima. But leo tumekamatwa na Spurs. Nilisema sisi ni wazuri wa kuongea kutukana na wazoefu wa big 4. Wenzetu chelsea na liver wanachanja bunga sisi tunatukana na kutandaza mpira epl nzima.
 
3A1E252000000578-3910272-image-a-28_1478442841204.jpg

Gunners hit the buffers today. Totts walikuja na kujiandaa ku-defend, vile vile refa kama kawaida yake kuwabeba. Hata hivyo Prof alikosea kuwapa huu mchezo wachezaji wengi ambao hawajawahi kucheza kwenye derby kali kama hii especially Iwobi ambaye leo alipwaya sana kutokana na presha from passing and in front of the goal.

Alexis hakuwa kwenye form na aliandamwa kila alipokuwa ana mpira. Well it wasn't a must win game tutakwaana nao tena nyumbani kwao and this time around tutakuwa tumejiandaa kwa formation yao. [HASHTAG]#COYG[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom