FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,409
pasi nyingi sasa kwenye box zishaanza mbona goli la shuti limeingia lile.
Haha naangalia game pia uwezekano wa Arsenal kuondoka na ushindi ni dhahiri , Arsenal Fans wish u all the best
pasi nyingi sasa kwenye box zishaanza mbona goli la shuti limeingia lile.
ha ha ha enjoy kandanda safi la vijana wa emirates.hakuna mambo ya nguvu ni akili tu kuonesha kwamba soka ni art pia.Haha naangalia game pia uwezekano wa Arsenal kuondoka na ushindi ni dhahiri , Arsenal Fans wish u all the best
Naona hivyo Mkuu na mfungaji wao mashuhuri Jermaine Defoe yuko kwenye bench kwa wiki mbili au zaidi kuanzia juzi.
thanks almunia.
ngoma nzito sana ,inabidi song harudi pale nyuma kumsaidia campbell,ben acheze mbele peke yake na baadae amtoe nasri au arshavin amlete diaby kusaidia kukaba kati.
ndio ulichokuwa unasubiri but we will make it.Mgonjwa yupo ICU lol
diaby akija atasaidia pale kati.i think arshavin should come off.Jamaa watashambulia ile mbaya baada ya HT, lakini tukiweza kufunga la pili basi tutawamaliza nguvu kabisa.