Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

4320.jpg

Ozil battles for possession with Ward and Mee.
 
Habari wakuu hivi punde mechi kati ya Burnley na Arsenal imemalizika kwa timu ya Arsenal kupata ushindi wa goli la mkono lililofungwa la beki wake Laurent Kosc..
 
Haaaaa haaaa great fight lads,Haters mnaweza ku-reserve comments zenu najua mlikua standby.
Great game,vijana wamepigana to the last moment hizi ndio pointi 3 zangu bora so far thanks The Boss
 
Niliheshahesabu 2points dropped.. Kidogo nimeseme tumegeuka kuwa Manchester United ya sasa.
Tumeshinda lakini Wenger abadili style ya uchezaji hizi pass nyingi bila magoli hazisaidii sana watu wajaribu pia kupiga mipira nje ya 18
Timu ikikutana na timu inayojaza watu nyuma kujilinda inashindwa kabisa kupasua defence na kufunga kama ilivokuwa, leo
 
197f45b1-f08e-4452-bc60-a0d27cb7c117.jpg

Granit Xhaka

6c007cee-15d4-4b66-95c1-b328bc76781e.jpg

Shkodran Mustafi

Kwa kweli usajili wa Granit Xhaka na Mustafi ndiyo kielelezo cha mafanikio ya Arsenal msimu huu.

Xhaka ameongeza uimara wa sehemu ya kiungo , wakati Mustafi ameimarisha safu ya ulinzi.

Kuna dalili za Arsenal kwenda mbali zaidi msimu huu.
 
Tumeshinda lakini Wenger abadili style ya uchezaji hizi pass nyingi bila magoli hazisaidii sana watu wajaribu pia kupiga mipira nje ya 18
Timu ikikutana na timu inayojaza watu nyuma kujilinda inashindwa kabisa kupasua defence na kufunga kama ilivokuwa, leo

Hivi mkuu, timu pinzani wamejazana ndani ya eneo lao utatumia njia gani ili uwazidi ujanja?

Wape credit Arsenal kwa kutumbua mtindo huu ambao si wa ushindani.
 
Koscielny celebrates scoring the winner
Duh, alifunga kwa mkono, kichwa au mguu?
Aisee! FA wafanye retrospect ya mabao pia. Burnley kama Hull alibania siku ya Man. United mwishoni aliinamisha kichwa mwendawazimu akanyoa. Leo Burnley walisema hawatonyoa nywele, naona dakika za majeruhi, wameinamisha kichwa na Arsenane amewanyoa. Atakayefuata ajiandae Burnley atamalizia hasira siku hiyo. Lazima amuunguze mzururaji.
 
Alifunga kwa mkono Mkuu, hakuna sababu ya kupindisha ukweli Mkuu.

Duh, alifunga kwa mkono, kichwa au mguu?
Aisee! FA wafanye retrospect ya mabao pia. Burnley kama Hull alibania siku ya Man. United mwishoni aliinamisha kichwa mwendawazimu akanyoa. Leo Burnley walisema hawatonyoa nywele, naona dakika za majeruhi, wameinamisha kichwa na Arsenane amewanyoa. Atakayefuata ajiandae Burnley atamalizia hasira siku hiyo. Lazima amuunguze mzururaji.
 
Back
Top Bottom