Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Pole sana huwa inaudhi sana hali hiyo ya kujua ushindi na 3 points kapuni halafu kibao kinageuka.
Leo nusura mambo yaharibike mshukuruni Refa hakuona ....... ungelala mzungu wa tano kama siyo wa nne
 
Ndiyo sababu unapokesekana kwenye majukwaa haya huwa kunapwaya, ujitahidi kupita huku kuja kuongeza uhai kwenye majukwaa husika.

Hamna kuchukiwa Hilo ndo soka bana kutambishiana kukejeliana alimradi siku inaenda soka linanoga ,kuna timu ina haters wengi kama Man U ?.......nyie shida yenu tu mmekuwa kivutio kwenye dunia miaka mingi bila kumbe la EPL wala UEFA mkizingatia mnafanya vizuri sana..... ila naamini ipo siku yenu tu nanyi mtabarikiwa.. ....keeping on trying one day Yes !!!!
 
Cha ajabu kuna shabiki wa simba na arsenal anashangilia goli la leo ili hali jana kanuna,,,Mungu huwaumbua watu kwa unafiki wao na hap ndo utagundua kumbe umbumbumbu upo!
 
Ndiyo sababu unapokesekana kwenye majukwaa haya huwa kunapwaya, ujitahidi kupita huku kuja kuongeza uhai kwenye majukwaa husika.
Hahaha nafichwa, yaani kama Wewe ulivyofichwa msimu uliopita nilikumiss mbaya ....... jamani Wacha1 yupo hai ?au ana ID nyingine? ......nimemmiss sanaaaaaa!!! Vicheko hakuna, BAK mwenyewe anacheka haweki wino mwekundu kama Wacha 1
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Haya bhana kufichwa kwema, njemba itakuwa inafaidi sana lol! 😉😉😉Wacha1 sijui kapotelea wapi huyu alikuwa ananifurahisha sana na khe khee kheeeeeee zake sasa zimerithiwa na wengi humu ikiwemo mimi. Pamoja na kufichwa mwambie huyo mfichaji weekend na labda Jumatatu huwa unapenda kujirusha JF angalau kwa masaa machache uje uchangamshe majukwaa haya mwanana.

Hahaha nafichwa, yaani kama Wewe ulivyofichwa msimu uliopita nilikumiss mbaya ....... jamani Wacha1 yupo hai ?au ana ID nyingine? ......nimemmiss sanaaaaaa!!! Vicheko hakuna, BAK mwenyewe anacheka haweki wino mwekundu kama Wacha 1
 
9276645a22d1183799a44d86e87fc45b.jpg

After burning down Turf Moor,winning feelings.
 
Hapana mkuu hawajang'oa kwani wao ni wastaarabu sana vp ulidhani labda wataiga ujinga wa mashabiki wa mikia nn???
 
Najitolea kumsaka Wacha1 kwa kweli amekosekana sana hapa.

Halafu ntawapa mrejesho.

😉
 
Najitolea kumsaka Wacha1 kwa kweli amekosekana sana hapa.

Halafu ntawapa mrejesho.

😉

Chief kama utahitaji msaada kwenye zoezi lako nipo hapa kusaidia na kuongeza nguvu,ndugu yetu kapotea mwishoni mwa msimu uliopita kama utani vile.
 
Back
Top Bottom