hehe hongera naona ulibaki peke yako hapa wenzako walienda fire exit.nimepatwa na heart attack 3ptssssssssss
Draw ya nini wamebana wameachiaYeah hilo ni tatizo tulilonalo kwa miaka kadhaa. Huwa inasikitisha sana. Sitashangaa tukiondoka na draw leo badala ya zote 3.
Kuna mjinga anasema eti goli kama la Tambwenimepatwa na heart attack 3ptssssssssss