Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ndio mashabiki tulivyo, ligi ndio imeanza tunataka kila mtu acheze. Juzi nikasoma wengine wamefurahi Me Coq kuumia ili Xhaka acheze, hatujui kuwa timu ikianza kuwa na majeruhi inaikosesha balance, matokeo yake utakuwa na wachezaji watano majeruhi na kupunguza competition

Wabongo na kipya kinyemi. Ukipata mshahara tarehe 25 unautumia kama vile ni maji ya mto, ikifika tarehe 10 huna hata nauli. Huwa siwaelewi hawa wapenda soka.
 
Naona FA ya Uingereza inakomaa na Wénger akafundishe national team.

Ila sijui kama hawaoni kuwa type ya wachezaji wa kiingereza alishawashindwa, yeye anaowaweza ni wafaransa na wa Spain, hivi karibuni kaibukia German.
 
Hongereni sana naona mambo yenu gudi gudi hadi mzee anataka kupewa ukocha wa England.....lol....... nimemmisi sana mzee wa khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee!!! Amepotelea wapi??????
 
Naona FA ya Uingereza inakomaa na Wénger akafundishe national team.

Ila sijui kama hawaoni kuwa type ya wachezaji wa kiingereza alishawashindwa, yeye anaowaweza ni wafaransa na wa Spain, hivi karibuni kaibukia German.
Wanataka awe Eriksson.
Kwa nini hawamtaki Sir Alex au Rafa awe kocha wa hiyo timu ya vi....za?
Wampe Shearer(shira) bana ili wapate kujiramba kwa utamu. nam nam.

Link Sven Goran Eriksson's advice for the next England manager

Link2. Fabio Capello: I resigned because I could not permit interference from FA
 
The Boss AW,20 years mzee mimi ni kati ya mashabiki wako jana,leo na kesho,Congrat's kwa miaka 20 ya kutoa huduma Arsenal wewe ni mmoja kati makocha bora kwangu.
8c98ad9c8eb9fdfabac705bdd3967b49.jpg

b73b41b7fd3881320cd05fbc197988b7.jpg

2cdf1d58259cb2791cdfb4bb157312b6.jpg

f17be965f79998df601ed4b117da7d49.jpg
 
Kuna kijiji kaenda mganga anaitwa Stoke basi wanakijiji wanakamatana uchawi huko wenyewe kwa wenyewe,jiandaeni wamejipanga kuja huku kwa wingi incase tukipata msiba.
 
Let's close down the gap to the summit to 2points. Spurs wameshawafunga Man City, tukishinda leo tutajiweka nafasi nzuri kipindi hiki ligi inapoanza kuwa tamu.
 
Let's close down the gap to the summit to 2points. Spurs wameshawafunga Man City, tukishinda leo tutajiweka nafasi nzuri kipindi hiki ligi inapoanza kuwa tamu.

Ingawa tuna ugonjwa wa kushindwa kupunguza gaps especially wengine wanapopoteza,Inshaallah leo isiwe kama jana.
 
Tunaendeleza kichapo cha goli 3 leo goli nne zitakuwa poa zaidi maana umuhimu wa haya magoli unazidi kuongezeka na inawezekana kabisa ikawa ni tofauti ya kutwaa ubingwa na kuchukua nafasi ya pili au hata ya tatu.
 
Wanacheza kama wamechoka. Inaonekana Energy iliyotumika katika mechi 2 zilizopita imewa cost wachezaji
 
Burnley wagumu. Kuna haja y kubadilisha attacking system kwa game hii.
 
Back
Top Bottom