ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,420
- 118,937
Jana Sanchez kacheza false nine, huwezi kutumia mbinu hiyo hiyo kwa kila game. Lucas na Giroud ni muhimu sana hasa wakati mzee akitaka kubadilisha tactics.Ninachokiona kwa wenger
Anataka kumbadili sanchez jumla awe namba 9
Winga atabakia Iwobi, walcoth,alex chamberlai n,.
Sasa itakuwa ushindan kati ya perez,giroud na sanchez
KUNAKOELEKEA SANCHEZ ATAIZOEA NAMBA 9