UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,886
Mfano hai tafadhali usimtaje moushida mnashindwa kuelewa kuwa sio kila mabadiliko huwa yanaambatana na negative impact....
Mfano hai tafadhali usimtaje moushida mnashindwa kuelewa kuwa sio kila mabadiliko huwa yanaambatana na negative impact....
Simeon ndo safi au pep lakin pep simuelewAje nan ?labda Pep angekuwa available
Labda aje Rijckard
Zaid ya hapo hatukuwepo hata top 4
sio rubaman tu...hata mimi natamani hata aachie ngazi akapumzike, awaachie vijana waendeleze kazi wakiwa na mawazo mapyaArsene mzee wetu naju rubaman anataman mzee aondoke leo
Guardiola, Henrique, Zidane, Simeone.....wote hao hakuna aliyepoteana baada ya mabadilikoshida mnashindwa kuelewa kuwa sio kila mabadiliko huwa yanaambatana na negative impact....
Swali nani sasa?? ujue ni rahisi kuongea kama hivyo kwa kua umemchoka babu lakini usisahau babu ndio huyu huyu kakufikisha ulipo. We need long term committed coach mwenye vision ambayo haita leta impact kama utalinganisha na misimamo ya bodi ya kupata faida.sio rubaman tu...hata mimi natamani hata aachie ngazi akapumzike, awaachie vijana waendeleze kazi wakiwa na mawazo mapya
Sio kwa team kama arsenal nyinyi sio wageni na arsenal mfumo uliopo pale ndio source ya yanayotokea shida zidane kufanya anchofanya au guardiola ni kawaida sabu hawako arsenal pale ni arsenal usifananishe mifumo ya arsenal na timu yoyite ile, mabosi wa arsenal wamejikita kupata faida zaidi kuliko kufika mbali zaidi in term of trophies wao hawaangalii hiloGuardiola, Henrique, Zidane, Simeone.....wote hao hakuna aliyepoteana baada ya mabadiliko
Grahaman aliondoka sawa hatupingi but u akumbuka hodi hodi za wenger?? Swali zuri ni nani akio doka wenger atatifikishahatutakiwi kuishi ulimwengu wa kukariri tu kuwa Arsenal without Arsene is not Arsenal.....maana hata George Graham aliondoka vilevile na hatukutetereka
Kabisa umenena vyemakwani kati ya hao niliokutajia hapo juu nani aliwahi kufanya hata usajili wa total sum ya 100 million Pounds kwenye dirisha la usajili?
Mfano rahisi ni Zidane na Simeone....kila uchao tunaona wanaopt kuweka academic graduates wao kwenye first team
Hata sisi sio kwamba tunahitaji ati kocha mwenye kujua kumwaga pesa sana bali kocha mwenye mawazo tu anatosha....We should believe in our former stars coz wanajua misingi ya timu

Wakati wewe ukiona kuwa hakuna watu wakutufikisha mahali isipokuwa AW wenzako kila uchao wanawaamini haohao unawaona si kitu wanawaweka kwenye mabenchi ya ufundi ili wayatumie mawazo yaoGrahaman aliondoka sawa hatupingi but u akumbuka hodi hodi za wenger?? Swali zuri ni nani akio doka wenger atatifikisha
Vizuri, sikupingi kabisa lakini misingi ya madrid ni watu wakutumia pesa simeon sawa lakini angalia mbele na nyumakwani kati ya hao niliokutajia hapo juu nani aliwahi kufanya hata usajili wa total sum ya 100 million Pounds kwenye dirisha la usajili?
Mfano rahisi ni Zidane na Simeone....kila uchao tunaona wanaopt kuweka academic graduates wao kwenye first team
Hata sisi sio kwamba tunahitaji ati kocha mwenye kujua kumwaga pesa sana bali kocha mwenye mawazo tu anatosha....We should believe in our former stars coz wanajua misingi ya timu
vumilia msimu huu tu weka silaha chiniWenger out![]()
kubali usikubali ila ni lazima the old man (AW) aende ili kufungua njia ya kupata mawazo mapya na wenye uchu wa kutengeneza CV zaoVizuri, sikupingi kabisa lakini misingi ya madrid ni watu wakutumia pesa simeon sawa lakini angalia mbele na nyuma
Sio bodi ibadili misimamo ya kingesekubali usikubali ila ni lazima the old man (AW) aende ili kufungua njia ya kupata mawazo mapya na wenye uchu wa kutengeneza CV zao
All we need is a new era with a new manager..the rest will be determined by the future...Sio bodi ibadili misimamo ya kingese
Sasa hiyo sio planAll we need is a new era with a new manager..the rest will be determined by the future...
Nimependa analysis yako kiongozi MO11. Lakini Xhaka bado anajifunza ligi ya uingereza, tumpe muda. Mustafi anatengeneza bond nzuri sana na Konsienly, naamini sasa tutakuwa na ukuta imara.MECHI YA JANA NILICHOGUNDUA
1) Kante hamuwezi ozil tangu akiwa leicester jana kaburuzwa
2) ili umpite mustafi unatakiwa upite juu
3) bora aanze coquelin kuliko xhaka
4) chelsea beki aliyebaki ni zouma tu
5) jana hazard angecheza mechi chelsea ingeshinda
6) xhaka a.k.a pweza ndio mchezaji anayependwa zaidi arsenal kila akigusa mpira hata akiwa golini kwake watu wanamwambia shooot
7) ozil hata angekua amejifunga kitambaa usoni angecheza vizuri maana zile pasi za kupiga kushoto na kuangalia kufika kilikua kitu cha kawaida sana
8) baada ya messi yale magoli anashinda sanchezi tu
9) yule the flash (google it) hamuwezi bellerin kwa kukimbia
10) Arsenal imefuta uteja