Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Afu uzuri wa arsenal moto wenu unakuwa kabla hamjaenda xmass.....lakini mkishatoka kula pilau la xmass....basi shida inaanzia hapo ni kipigo kwa kwenda mbele......
Itawachukua miaka kumi tangu Fergie aachie ngazi kuupata ubingwa, anza kuhesabu;
David Moyes July, 2013 - Apr, 2014
Ryan Gigs April, 2014 - May, 2014
Louis Van Gaal July, 2014 - May, 2016.
Jose Moron May, 2016----->
3yrs on, endelea kuhesabu.
 
Jumatano tutakipiga vs Manyang'au wa Old Trafford ndani ya UCL lol
 
Itawachukua miaka kumi tangu Fergie aachie ngazi kuupata ubingwa, anza kuhesabu;
David Moyes July, 2013 - Apr, 2014
Ryan Gigs April, 2014 - May, 2014
Louis Van Gaal July, 2014 - May, 2016.
Jose Moron May, 2016----->
3yrs on, endelea kuhesabu.
Nyie mpaka sasa mnamiaka mingapi tangu mchukue ubingwa.? Na huyo wenger wenu.
 
Afu uzuri wa arsenal moto wenu unakuwa kabla hamjaenda xmass.....lakini mkishatoka kula pilau la xmass....basi shida inaanzia hapo ni kipigo kwa kwenda mbele......
we timu yako ipi kwanza nijue usije ukawa wa majimaji bure
 
Sio mbaya wakati tunakosa huduma yake si tutanufaika kwakuwa wenger itamlazimu aanze kutengeneza combination ya cazola na xhaka ili ata akiamua kumtumia mmoja kati yao wawe wamezoeana
Hatutaki hata mmoja awe majeruhi, tunataka AW apate headache ya kuchagua kikosi bora kila mechi. Ukisema ni bora Le Coq awe majeruhi unakosea sana. We need all players fit kila mechi kiongozi.
 
Hatutaki hata mmoja awe majeruhi, tunataka AW apate headache ya kuchagua kikosi bora kila mechi. Ukisema ni bora Le Coq awe majeruhi unakosea sana. We need all players fit kila mechi kiongozi.
Umeelewa vibaya mkuu, me sijasema nimefurahi coq kuumia lahasha, nawewe unaweza kuwa mmoja wa wale tuliokuwa tunahitaji kumuona xhaka akianza, ila mzee akawa anasema ye anajali combination ya cazola na coq kwakuwa wamezoeana so xhaka ni lazima aanzie benchi, so maana yangu iko hivi, kwakuwa coq kaumia pia hii ni nafasi kwa wenger kutengeneza chemistry ingine kati ya cazola na xhaka ili awe na uwezo wa kuwapanga kulingana na aina ya game ilihali cazola anaweza kucheza na yoyote ambae atapangwa
 
Back
Top Bottom