UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,886
Ramsey hapana aendelee kuumia till the end, sasa hivi mzee amefanikiwa kwa kumuanzisha sanchez pale lakini najua kabisa kwamba sio namba ya kudumu kwake amekua kama geresha tu pale ndio maana kuna wakati utaona anatokea pembeni while iwobi anajisogeza kati kati yani sio jambo ambalo unaweza count kama alexis ni permanent striker.. sanchez ni mchezaji anaependa sana kukimbia na mpila na mtafutaji mzuri sana,kumeweka kama striker ni swala la muda tuLabda lkn alimjaribu theo akashindwa
Nadhan ni muda wa sanchez sasa...
Binafs ningependa acheze mshambuliaj wa kati.....pemben wabaki Iwobi, chamberlain,walcoth na ramsey