Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nashindwa kuelewa kwa nini watu hawampendi na ku-appreciate Giroud. Tangu aingie tunaonekana kucheza kama timu yenye CF.
 
Hahahaha usifanye mchezo na mbinu za kivita za Prof

PSG watu tumekuja Paris kula maisha msituangushe jamani

Cavanni funga lingine basi
Naona Wenger anataka kutopoteza point moja hii. Packing the bus with 4 Midfielders. hahahaha
 
Fk Diz!! Sasa wataanza kumtukana Giroud.. Kulaleki link yangu imefreeze kama pesa za bandarini.
 
Giroud for
Fk Diz!! Sasa wataanza kumtukana Giroud.. Kulaleki link yangu imefreeze kama pesa za bandarini.

Link yako imezimika muda mzuri wakati mpira umeisha mmeshinda {Point 1}

Giroud ana gundu na washabiki wa Arsenal, auzwe tuu aje Andy Carroll
 
Back
Top Bottom