Huyu kazeeka vibaya na kinachoonekana anataka kuwazeesha mashabiki wa timu yake piaWakulaumiwa ni mashabiki wa Arsenal.
Hapo ndipo namionaga huyu mzee **** ya farasiAW daaa kichwa chake kinawaza nn sijui? Huyu mzee ni mgonjwa huwez ukawa na timu ya akina ozil sanchez halafu striker sanogo... Anaugulia uwanjani huyu apelekwe hospital
Nipo sana ila hali yetu sio njema kabisa
Kos6 umri umekimbia sana na aendako season hii akicheza game 25 basi ni bonasi kwetu. Hii team bodi na babu wanaiua kwa kutunza pesa bank. Hakuna sababu ya kujiuliza kwenye kuwekeza "invest back to the team" ili kujenga uhakika wa return bora kabisa. Drid and Barca are the richest club in the world bado wanatumia pesa kuwekeza kwenye team ili kuendelea kuwa pale juu. Hawapo juu kwa bahati mbaya au ndoto.Msimu huu tutatobo kweli kwenye big four?
Jana nliona km beki yetu haiko imara sana
Nimeacha kuishabikia ArsenalNshakumbuka Ngongo alihama...tena alileta na post kabisa hapa jikwaani!!
Nimeipenda analysis yako, huwezi kumlaumu Wenger ukaiacha Board na Major Shareholer(Stan Kroenke). Board ndio inaendesha team, coach anafuata tu long na short term plans za club. Ndio maana huwa nashindwa kuelewa, kwa nini mashabiki tunaona Wenger ana final say kwenye club? Kwa nini board isiwe na final say, kama ni hivyo kutakuwa na shida kubwa kwenye management ya arsenal.Arsenal imedumaa na haikui. Its like Messi wakati akiwa mdogo Barca walimnusuru. Arsenal inahitaji Barcelona kuinusuru ili walau ikue, na huyu Barcelona basi walau au wa mafuta au Wachimba chuma wa Russia.
Babu AW ni tatizo lkn kumwona yeye kama ni tatizo pekee basi tunakosea, nyuma yake kuna Bodi na bodi inaweka malengo yake ya mwaka, na yanatakiwa kufikiwa, sasa wasiwasi wangu ni kuwa Bodi inaeeka malengo yake ya mwaka na ya muda mrefu ambayo babu anayatimiza. Sasa hapo ndo panapoibua maswali bodi malengo yake ni yepi? Pengine wanaseti malengo finyu sana na ambayo anayafikia. Na kwa hali ilivyo sasa hakuna mtu hapendi ajira isiyo na presha, AW kwa sasa hana presha na kibarua chake kabisa. Anajua mwisho wa siku anatimiza malengo ya mwajiri wake na pengine kuyavuka kabisa.
Mmiliki wa team ana matatizo na tatizo kubwa kwake ni kukosa kuufahamu mpira wa miguu ambako amewekeza pesa yake. Kama mwisho wa mwaka sehemu yake ya faida inaingia na hakuna tatizo na hajui juu ya furaha ya mashabiki na ushindi.
Silent Stan has to go aiache team, chini yake toka ameichukua team haijasogea mbele zaidi ya kumlipa gawio toka kwenye uwekezaji mdogo sana anaoufanya.
Why Money on the bank. Kama viingilio vya wanaotaka kuiona team yao inapata mafanikio kwa kunyakua mataji bado viko juu, kwa nn pesa hiyo isiwekezwe kwa kununua wachezaji?
Hata tukisema Wenger out cc km mashabiki haiwafanyi wale wajinga wamtoe yule babu, tuendelee kusubiri muujiza tuKos6 umri umekimbia sana na aendako season hii akicheza game 25 basi ni bonasi kwetu. Hii team bodi na babu wanaiua kwa kutunza pesa bank. Hakuna sababu ya kujiuliza kwenye kuwekeza "invest back to the team" ili kujenga uhakika wa return bora kabisa. Drid and Barca are the richest club in the world bado wanatumia pesa kuwekeza kwenye team ili kuendelea kuwa pale juu. Hawapo juu kwa bahati mbaya au ndoto.
Babu na Body waache kuishi kwenye ujima. Ajax iliyochukua CL kwa youth project haiwezi kutokea tena dunia hii. Watu wanakuja kuvuna matunda kabla hayajakomaa wanaenda kuyavundika kwao. Lion iliyochukua ubingwa wa ufaransa mara 6 mfululizo kwa youth project haiwezi kutokea tena. Watu wanaangalia hapo hapo kwa wabishi wanaowekeza kwa vijana wanalipa mpunga wa maana na kuchukua kipaji kabla hujakifaidi.
Hata Leicester waliochukua ubingwa kwa uwekezaji wa kawaida wameona hawawezi kuishi kwenye dunia ya ushindani bila kuwekeza, wamenunua wachezaji tena kwa bei ya soko linavyotaka. Sio babu na bodi wanawaza pesa ni nyingi bora zikae bank tuvune riba.
Kifupi #WengerOut #SilentstanOut
Ili kuinusuru team pendwa kabla hatuazama na kuwa midtable team.
Nimeipenda analysis yako, huwezi kumlaumu Wenger ukaiacha Board na Major Shareholer(Stan Kroenke). Board ndio inaendesha team, coach anafuata tu long na short term plans za club. Ndio maana huwa nashindwa kuelewa, kwa nini mashabiki tunaona Wenger ana final say kwenye club? Kwa nini board isiwe na final say, kama ni hivyo kutakuwa na shida kubwa kwenye management ya arsenal.
Namheshimu Wenger, he did so much for the club ila sasa apumzike tu, hana ushawishi hata wa kumnunua Vardy, basi ujue club is on the decline.
Kos6 umri umekimbia sana na aendako season hii akicheza game 25 basi ni bonasi kwetu. Hii team bodi na babu wanaiua kwa kutunza pesa bank. Hakuna sababu ya kujiuliza kwenye kuwekeza "invest back to the team" ili kujenga uhakika wa return bora kabisa. Drid and Barca are the richest club in the world bado wanatumia pesa kuwekeza kwenye team ili kuendelea kuwa pale juu. Hawapo juu kwa bahati mbaya au ndoto.
Babu na Body waache kuishi kwenye ujima. Ajax iliyochukua CL kwa youth project haiwezi kutokea tena dunia hii. Watu wanakuja kuvuna matunda kabla hayajakomaa wanaenda kuyavundika kwao. Lion iliyochukua ubingwa wa ufaransa mara 6 mfululizo kwa youth project haiwezi kutokea tena. Watu wanaangalia hapo hapo kwa wabishi wanaowekeza kwa vijana wanalipa mpunga wa maana na kuchukua kipaji kabla hujakifaidi.
Hata Leicester waliochukua ubingwa kwa uwekezaji wa kawaida wameona hawawezi kuishi kwenye dunia ya ushindani bila kuwekeza, wamenunua wachezaji tena kwa bei ya soko linavyotaka. Sio babu na bodi wanawaza pesa ni nyingi bora zikae bank tuvune riba.
Kifupi #WengerOut #SilentstanOut
Ili kuinusuru team pendwa kabla hatuazama na kuwa midtable team.
Ngoja tuendelee kusubiri warudi. Ila ligi ukianza vibaya match 10 za kwanza wewe sahahu kuwa champ.Babuuuuuu.... Wenger " i mean, we scored 3 goals against a competetive team like Liverpool, it just shows the class we already possess in our front line, so i think, with the centre backs coming back from injury we should be able to compete"...
Hahahaaa hapa msahau kuhusu mshambuliajiBabuuuuuu.... Wenger " i mean, we scored 3 goals against a competetive team like Liverpool, it just shows the class we already possess in our front line, so i think, with the centre backs coming back from injury we should be able to compete"...
Nimeipenda analysis yako, huwezi kumlaumu Wenger ukaiacha Board na Major Shareholer(Stan Kroenke). Board ndio inaendesha team, coach anafuata tu long na short term plans za club. Ndio maana huwa nashindwa kuelewa, kwa nini mashabiki tunaona Wenger ana final say kwenye club? Kwa nini board isiwe na final say, kama ni hivyo kutakuwa na shida kubwa kwenye management ya arsenal.
Namheshimu Wenger, he did so much for the club ila sasa apumzike tu, hana ushawishi hata wa kumnunua Vardy, basi ujue club is on the decline.
Hahaa hamsikii hata.... Yuko busy kuangalia yanayojili.....
Hata tukisema Wenger out cc km mashabiki haiwafanyi wale wajinga wamtoe yule babu, tuendelee kusubiri muujiza tu