Arsenal (The Gunners) | Special Thread

*Wenger since 2004*

*Mourinho* came 2005 he won the
league twice and went. _Wenger still building the team_

*Ancelotti* came and won the league and went _Wenger
still
building the team_

*Mancini* came won the league and
went _Wenger still building the team_

*Pellegrini* came won
the league and went _Wenger still building the team_

*Mourinho* came back again won the league and went
_Wenger still building the team_

*Ranieri* took Leicester
came from relegation zone and won the league _ Wenger
still building the team_!! Im wondering what kind of a
team
he is building since 2004.

AW is building a profit making team not a title winning team

i think those coaches were having different motives (winning the crowns) to those of our coach (balancing the check books)
 
AW is building a profit making team not a title winning team

i think those coaches were having different motives (winning the crowns) to those of our coach (balancing the check books)
Sasa wewe mpiga kelele wa uwanjani na vibanda umiza (shabiki) unafaidika nini na hiyo profit inayoingia?

Mpira makombe hayo mambo ya profit wanajua wao huko
 
14055078_1257496577642588_7965502314412360875_n.jpg
 
Sasa wewe mpiga kelele wa uwanjani na vibanda umiza (shabiki) unafaidika nini na hiyo profit inayoingia?

Mpira makombe hayo mambo ya profit wanajua wao huko

Usiwe mshabiki wa kutupwa wa matimu ya watu, ni utumwa mbaya sana. Team yenyewe haikuwa na kikosi cha kwanza, ingawa wamecheza mpira mzuri na mapungufu yameonekana. Yanayo baki ya kwao na hela zao, wewe tafuta zako, wacha kung'ang'ania mifuraha usiyochangia hata mia kuitengeneza.
 
Mkuu Richard nadhani sasa utakuwa umeanza kumuelewa Wenger.
Mehrez alitajwa sana na media kuwa anawaniwa na wenger lakini mwisho wa siku kaishia kujiimarisha pale pale leceister kasaini mkataba mpya mpaka 2020.
Babu Wenger amekuwa ni mtu wa kutaja tuu hivi sasa sidhan kama ataweza kumsajili tena huyo Mustafi kwasababu kaachana na huyo wa paund milion 30 sasa hivi anamfukuzia beki wa atretico ambaye ana thamani ya paund milion 40 hivi kweli hii inaingia akilini.
Kama nilivyowahi kusema huko awali binafsi naamin Wenger hawezi kusjili tena mchezaji mweny thamani ya paund milion 30 au zaidi kwasababu imekuwa ni utamaduni kuwa humsajili mchezaji mmoja tu wa dau hilo kwa msimu na kwa msimu huu tayari ashatoa pesa hiyo kwa xshaka, So kama wenger atasajili tena basi ni wachezaji wa paundi milion 20 kushuka chini na ndio hapo tusishangae upande wa beki tukaletewa John Evans na striker asisajiliwe kisha akakwambia kulejea kwa sanogo ni kama Usajili mpya.
 
Mkuu Richard nadhani sasa utakuwa umeanza kumuelewa Wenger.
Mehrez alitajwa sana na media kuwa anawaniwa na wenger lakini mwisho wa siku kaishia kujiimarisha pale pale leceister kasaini mkataba mpya mpaka 2020.
Babu Wenger amekuwa ni mtu wa kutaja tuu hivi sasa sidhan kama ataweza kumsajili tena huyo Mustafi kwasababu kaachana na huyo wa paund milion 30 sasa hivi anamfukuzia beki wa atretico ambaye ana thamani ya paund milion 40 hivi kweli hii inaingia akilini.
Kama nilivyowahi kusema huko awali binafsi naamin Wenger hawezi kusjili tena mchezaji mweny thamani ya paund milion 30 au zaidi kwasababu imekuwa ni utamaduni kuwa humsajili mchezaji mmoja tu wa dau hilo kwa msimu na kwa msimu huu tayari ashatoa pesa hiyo kwa xshaka, So kama wenger atasajili tena basi ni wachezaji wa paundi milion 20 kushuka chini na ndio hapo tusishangae upande wa beki tukaletewa John Evans na striker asisajiliwe kisha akakwambia kulejea kwa sanogo ni kama Usajili mpya.

Wenger huu ni msimu wake wa mwisho Arsenal na meneja mpya tayari amepatikana.

Hata tena mvuto kwa wachezaji mahiri.
 
Back
Top Bottom