brivigy
Member
- Aug 9, 2016
- 41
- 60
Wenger ni uchwara kabisa..mahrez na vardy hao msahau aise...hawaj pale...Mzee Wenger anaendekeza ubahiri utadhani pesa anatoa mfukoni kwake!!
Wenger ni uchwara kabisa..mahrez na vardy hao msahau aise...hawaj pale...Mzee Wenger anaendekeza ubahiri utadhani pesa anatoa mfukoni kwake!!
Acha woga. Liva pia wako wazi nyuma. Itategemea nani anaweza kuitumia nafasi ya mapungufu ya mwenzie mapema na vizuri. Pia sisi tunafaida ya kuwa na viungo mahiri wa kuilinda backline yetu. Wao wako vyema upande wa ukimbizaji mwenge tu ambako hata sisi sio haba kabisa. Kwahivyo hawawezi kukimbizana tu wakati wako wazi nyuma watahitaji kucheza kama team na kupanda kwa uangalifu kuepusha kuikata team.Leo tutakimbiana umu kwa beki hii? Nawaaga ndugu zangu
Kama kweli unawaza nafasi ya sita wallah nenda Manyua au Chelshit hata Manishit watakufaa. Arsenal umepotea na huifahamu team yako hata kidogo.Leo ndiyo tunaanza rasmi pilika pilika za miezi tisa kuwania nafasi ya sita katika EPL. Nasema nafasi ya sita kwa sababu sijaridhishwa na usajili wetu hivyo hata kutetea ile nafasi yetu (nafasi ya nne) ambayo tulishajimiliksha kwa miaka mingi sasa itakuwa ni mgogoro, lakini pamoja na hayo mimi si Ngongo eti nihamie MANU, MANC au Chelsea kufuata ushindi lol!. Haya kwa wapenzi wote wa soka AKA kambumbu, AKA kandanda AKA mpira wa miguu hapa jamvini enjoy 2016/2017 season.
everlenk upo? Niko hapa namtazama Ibrahim akianza kufanya vyake labda kuelekea ubingwa wa MANU 2016/2017.
Acha kuwa pessimist kiongozi, miaka yote tunaanza na vikosi havina mbele wala nyuma, lakini ya sita hapana..Leo ndiyo tunaanza rasmi pilika pilika za miezi tisa kuwania nafasi ya sita katika EPL. Nasema nafasi ya sita kwa sababu sijaridhishwa na usajili wetu hivyo hata kutetea ile nafasi yetu (nafasi ya nne) ambayo tulishajimiliksha kwa miaka mingi sasa itakuwa ni mgogoro, lakini pamoja na hayo mimi si Ngongo eti nihamie MANU, MANC au Chelsea kufuata ushindi lol!. Haya kwa wapenzi wote wa soka AKA kambumbu, AKA kandanda AKA mpira wa miguu hapa jamvini enjoy 2016/2017 season.
everlenk upo? Niko hapa namtazama Ibrahim akianza kufanya vyake labda kuelekea ubingwa wa MANU 2016/2017.
Acha kuwa pessimist kiongozi, miaka yote tunaanza na vikosi havina mbele wala nyuma, lakini ya sita hapana..
Kama kweli unawaza nafasi ya sita wallah nenda Manyua au Chelshit hata Manishit watakufaa. Arsenal umepotea na huifahamu team yako hata kidogo.
Pamoja na kipindi kigumu team ilichopitia cha kulipa deni la kiwanja haijwahi kuwa nnje ya 4 bora, ingawa ulupaji wa deni la kiwanja imekuja kwa gharama ya kupishana na mataji. Lkn haina maana ufikie hatua ya kujishusha hadi nafasi ya sita. Naamini team yetu ni nzuri na ipo tayari kushindana na hao vimwaga wanaokutisha.
Kwa season 3 hizi lawama kweli ni za babu ambae ameamua kufungia pesa bank. Vinginevyo bodi nao wanafurahishwa maana gawio lao liko constantHapana banaa haya mambo ya kuhama hama mara timu hii mara timu ile kisa kufuata ushindi tu sinayo Mkuu. Mie na Arsenal ni damu damu. Sipendi kwa miaka chungu nzima sasa kushindwa kutwaa taji, lakini tatizo kubwa ni Babu Wenger.
Usenge mtupu hii hakuna namna nikuumia tuu na kushushia na konyagi dry ili tuzidi kukondaKwa season 3 hizi lawama kweli ni za babu ambae ameamua kufungia pesa bank. Vinginevyo bodi nao wanafurahishwa maana gawio lao liko constant
Live update Leo hamna?
Liverpool hata wao ni weupe wala msiogope.Still tutasajili tu baada ya mechi ya kwanza.Kama kweli unawaza nafasi ya sita wallah nenda Manyua au Chelshit hata Manishit watakufaa. Arsenal umepotea na huifahamu team yako hata kidogo.
Pamoja na kipindi kigumu team ilichopitia cha kulipa deni la kiwanja haijwahi kuwa nnje ya 4 bora, ingawa ulupaji wa deni la kiwanja imekuja kwa gharama ya kupishana na mataji. Lkn haina maana ufikie hatua ya kujishusha hadi nafasi ya sita. Naamini team yetu ni nzuri na ipo tayari kushindana na hao vimwaga wanaokutisha.
Kuhusu kusajili sina matumaini tenaLiverpool hata wao ni weupe wala msiogope.Still tutasajili tu baada ya mechi ya kwanza.
What is he waiting for? He wants the team to be humiliated then he signs a new player? This old man must go now it is enoughLet us not judge AW at the moment till the window closes, because he's promised to make a number of signings before 31st August.
Team ya mamilioni haijashinda idadi kubwa?Mkuu mechi ya Arsenal na L'pool inaanza 6.00pm EAT. Sasa hivi kuna mchapo wa MANU na Bournemouth, MANU wanaongoza 0-1
Team ya mamilioni haijashinda idadi kubwa?