Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Dr. Lik anasema Wenga ni Mzee ambaye hataki kuona mambo yakibadilika.
Docta amethibitisha kuwa umri unavyozidi kuwa mkubwa ndivyo kutopenda mabadiliko kunaongezeka.
Kwa hiyo Wenger ana phycological problem

Huyo Lik ni nani? ni yule aliyekua anachambua mpira kwenye lununga hapa nyumbani kabla wengi hatujajua kutumia internate?
 
Santi ndio captain.
duh.
1471078891480.jpg
1471078904952.jpg
1471078913721.jpg


Alianza nao kitambo aisee. Hapa wamemthibitisha tu.
 
Haha Leicester mwaka huu anshuka kuendelea kuweka amazing records
 
Mahrez bado anagoma kuja au babu hatakii? Bora vard angekuja tu maana Leicester sijui kama watapenyeza tena
 
Back
Top Bottom