Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,296
Wanakwambia misimu bado mingi ikifika zamu yao nao watachukua.Liverpool : 5
Manchester United : 3
Nottingham Forest : 2
Aston Villa : 1
Steaua Bucuresti : 1
Arsenal : 0
Wanakwambia misimu bado mingi ikifika zamu yao nao watachukua.Liverpool : 5
Manchester United : 3
Nottingham Forest : 2
Aston Villa : 1
Steaua Bucuresti : 1
Arsenal : 0
UtanikumbukaImani ya kweli ina uwezo wa kuhamisha milima
Dr. Lik anasema Wenga ni Mzee ambaye hataki kuona mambo yakibadilika.
Docta amethibitisha kuwa umri unavyozidi kuwa mkubwa ndivyo kutopenda mabadiliko kunaongezeka.
Kwa hiyo Wenger ana phycological problem
Huyo Lik ni nani? ni yule aliyekua anachambua mpira kwenye lununga hapa nyumbani kabla wengi hatujajua kutumia internate?
Santi ndio captain.
duh.
Anatosha sana Santiago...View attachment 380816View attachment 380817View attachment 380818
Alianza nao kitambo aisee. Hapa wamemthibitisha tu.
ThubutuuuuuuuKesho tunakausha bwawa...
Riyad yuko tayari kuja Emirates tatizo mzee Wenger hataki kukata pochi,yaani anaionea pesa huruma utadhani pesa anatoa mfukoni mwake!!huyu Riyad timu ishakufa aje tu huko london
Mzee Wenger anaendekeza ubahiri utadhani pesa anatoa mfukoni kwake!!Mahrez bado anagoma kuja au babu hatakii? Bora vard angekuja tu maana Leicester sijui kama watapenyeza tena