lol basi leo hatulali humu..
Leo kweli kazi ipo. wangepigwa usingewaona humu kxenye thread yao.
Leo kweli kazi ipo. wangepigwa usingewaona humu kxenye thread yao.
au wangekuwa wanamlaumu wenger tu.
Bayern wamewatoa Fiorentina. Je, huu ndio mwisho wa Italian clubs?
Hongereni kwa mara nyingine kupita, subirini tu draw ya next round.
Hapana chief, sijatoa hukumu bado. Nilikuwa najaribu kucheck kuangalia kwa miaka hii ya karibuni vilabu vya Italy vimekuwa vikifanya sio vizuri sana with exception of AC Milan, wakati vile vya England vimefanya vizuri. Tusuburi tuone kama history itaendelea kuwa hivyo.Bado akina Milan wawili wanasubiri hukumu zao, mmoja kesho na mwingine wiki ijayo au tayari umeishazipa ushindi timu za Manure na Chelsea? Kwenye mpira wa miguu lolote linaweza kutokea, kwa hiyo tusubiri dakika 90 za kesho na nyingine 90 za wiki ijayo.
Bayern wamewatoa Fiorentina. Je, huu ndio mwisho wa Italian clubs?
Kina nani hao chief?!Narudia tena...Tuko tayari kucheza na timu yoyote tutakayopangiwa....Hivi baada ya game ya Porto tulipofungwa 2-1 si kuna watu walisema kwamba safari yetu imewadia???,yako wapi leo...lol
Tongue in cheek, I hope!Hapana kuna Milan mbili zinasonga
lol basi leo hatulali humu..
Arsenal boss Arsene Wenger on his side's 5-0 win over Porto, to seal a 6-2 aggregate victory: "It is never perfect but it was a very good, very strong performance. Our first half was excellent and then after a bit of a struggle at the start of the second half, Samir Nasri's brilliant goal settled us down and we were comfortable winners."
Kina nani hao chief?!
..leo naenda kuangalia kwenye Tv niachane na livestreaming hizi sometimes zinaleta kokoro!!
Jamani leo sitakuwepo kujadili mwenendo wa game dk kwa dk ila am going out to share na jamaa hii ya kuangalizia home inakosa mvuto sometimes
![]()
Come on Nicklas Bendtner ... .... ....
Hao defenders wa Porto utumbo kabisa!
naona yule aliyeandika history ya porto kwamba hawajawahi kufungwa second leg baada kushinda first leg kaenda kufanyia editing post yake lol.
Sie tunaenda kulala bana baada ya kushinda...Siku hizi tunashangilia kimyakimya...lol