Things are bad for you guys, if you can't attract even a Leicester player...![]()
![]()
Hahahaaaa come on meeeenHa ha ha ha ha What the World have to become, even Man shit united have something to say about us being a bad. A team that have finished under top 4 after spending £200M in two season. Let's wait to see what Manchester United is going to attract ..

Hahahaaaa come on meeeen
Agent confirms Henrikh Mkhitaryan wants to join Manchester United amid Arsenal interest
Dont forget Zlatan ibrahimovic is in our pocket![]()


mawakala wajanja sana soon wakala wa Messi atasema mteja wake analilia kwenda Futuhi maana nikiorodhesha wanaolilia Utd ni noma 


Ukiachana na ramos nitajie waliotutumiaKama kawaida yenu Utd mnatumika kama condoms kipindi hikimawakala wajanja sana soon wakala wa Messi atasema mteja wake analilia kwenda Futuhi maana nikiorodhesha wanaolilia Utd ni noma
![]()
When I'm having sex I always wear a Arsenal shirt so I don't finish first
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Haven't you realized the only agent who's making a lot of noise is representing Ibrahimovic,MHahahaaaa come on meeeen
Agent confirms Henrikh Mkhitaryan wants to join Manchester United amid Arsenal interest
Dont forget Zlatan ibrahimovic is in our pocket![]()
Hahahaaaa come on meeeen
Agent confirms Henrikh Mkhitaryan wants to join Manchester United amid Arsenal interest
Dont forget Zlatan ibrahimovic is in our pocket![]()
His clients are marketable (no doubts)Haven't you realized the only agent who's making a lot of noise is representing Ibrahimovic,M
Haven't you realized that the only agent who's making a lot of noise represents Pogba , Ibrahimovic and Mkhitaryan ? Sell sell baby sell
Kuna wachezaji wanabahati tu ya kuvumishwa. Sioni lolote jipya kwake ukimlinganisha hata na Kante NgoloHis clients are marketable (no doubts)
Pogba- midfielder maestro
Zlatan - goal machine
Mkhitaryan - flying winger
Ukiangalia kwenye euro na msimu huu pekee ni kweli kante yupo vizuri kuliko pogba, but pogba kaprove mwenyewe kwamba he is the best kwa misimu kadhaa sasa, Ila hela wanayoitaka juve ni kubwa mno aiseeKuna wachezaji wanabahati tu ya kuvumishwa. Sioni lolote jipya kwake ukimlinganisha hata na Kante Ngolo
Pogba alikuwa Bora misimu miwili aliyochaza na pirlo na Artulo Vidal baada ya Artulo kuondoka sijaona ubora wake. Sana sana la kubadilisha jezi toka ile ya awali na kuvaa ya Nguli Alsandro del Pielo #10. Hiyo ndo yofauti pekee niliyoiona kwa Pogba baada ya Kuondoka kwa ArtuloUkiangalia kwenye euro na msimu huu pekee ni kweli kante yupo vizuri kuliko pogba, but pogba kaprove mwenyewe kwamba he is the best kwa misimu kadhaa sasa, Ila hela wanayoitaka juve ni kubwa mno aisee
LOL nilisema hapa siku msijiaminishe sana na tetesi mnazozisoma buahaaaaa.Haya wale wa Jamie Vardy![]()
![]()
![]()
LOL nilisema hapa siku msijiaminishe sana na tetesi mnazozisoma buahaaaaa.
Me namwamini Chicharito kuliko Vardy, dogo anajua kuji-position na analijua goli, why not him???Usajili Updates:
Jamie Vardy ameamua kuendelea na mkataba wake na timu yake ya Leicester City.
Vardy amesaini mkataba wa miaka minne na timu yake hivyo unaogharimu pauni 100,000 kwa wiki.
Mchezaji wa bei poa. Eduardo VargasDah! babu amechanganywa sana na suala la Jamie Vardy kwa kitendo chake cha kukaa kimya.
Mchezaji wa bei poa. Eduardo Vargas
AZ alkmar wametoa statement ya kukataa offer mbili za spurs, anko wenger anatakiwa achangamkie hii fursa.Enquiry mbili tayari imefanywa kwa Lazio ya Italy juu ya kijana Keita Balde.
![]()
Huyu ni product ya Barcelona Academy na anaweza kuja kufaa.
Ni msenegal na ana umri wa miaka 21.
Enquiry ingine ni ya Mauro Ircadi wa Inter Milan zipo kama pauni milioni32 hivi mezani.
![]()
Nahodha wa Inter Milan Mauro Icardi
West Ham walikuwa wanamtaka huyu lakini wameamua kumsajili Michy Batshuayi wa Marseille.
Naona Liverpool wamekata kona kwa Wenger wamemuwahi na wameingia Southampton kwa Sadio Mane.
Pia nilimtaja kijana Vincent Janssen wa AZ Alkmaar nae Tottenham wameweka dau mezani.
Inabidi mzee Wenger achangamke safari hii watu hawalazi damu.