Mkuu uwe unanisoma kwa uzuri mimi huwa siji na tetesi, bali ni taarifa za ndani kabisa.
Jamie Vardy alikwishakubali kusajiliwa kwa pauni milioni 22 siku ya Ijumaa lakini siku ya Jumamosi, Leicester wakaboresha mkataba wake ambao ulikuwa ni wa 80,000 kwa wiki.
Bado haijajulikana Leicester wanataka kumlipa kiasi gani kwa wiki.
Ni hicho tu ndio kinafanya Vardy awe na wakati mgumu lakini uamuzi ni wake.

Leicester wamempa £100,000 @ weekMkuu uwe unanisoma kwa uzuri mimi huwa siji na tetesi, bali ni taarifa za ndani kabisa.
Jamie Vardy alikwishakubali kusajiliwa kwa pauni milioni 22 siku ya Ijumaa lakini siku ya Jumamosi, Leicester wakaboresha mkataba wake ambao ulikuwa ni wa 80,000 kwa wiki.
Bado haijajulikana Leicester wanataka kumlipa kiasi gani kwa wiki.
Ni hicho tu ndio kinafanya Vardy awe na wakati mgumu lakini uamuzi ni wake.
Bayern wamesema HE IS NOT FOR SALEHata lewondosk tungeweza kumpata ingekua vzr
Vardy aliahirisha vipimo baada ya Leicester kuja na offer zaidi ya hiyo 120,000 kwa wiki waliyotoa Arsenal.
Hivyo mpaka anaondoka kwenda France bado hajatoa jibu.
Ni meneja wa England Roy Hodgson alietia ugumu baada ya kukataza usajili wa wachezaji wanaoshiriki Euro 2016 kutoshiriki masuala ya usajili wakiwa kambini.
Itakuaje hatma ya Theo akija vady chief?Leicester wamempa £100,000 @ week
Kiasi ambacho ni Short kwa £120,000 alizowekewa na Arsenal
Jana Wes morgan,Huth,Schimichael wamemuomba Jemie Vardy hasiwaache
Ila mwisho wa siku Suala la Vardy ni matter of weeks tena si Masiku maana mpaka baada ya Euro ndo atatoa Uamuzi anaenda wapi
Itakuaje hatma ya Theo akija vady chief?
Kuna sehemu niliona ETI west ham wanamtaka
Walcott alifanya mazungumzo na AW aliambiwa yeye ni winger wa kulia na arsenal wanasaka CF sokoniItakuaje hatma ya Theo akija vady chief?
Kuna sehemu niliona ETI west ham wanamtaka
Itakuaje hatma ya Theo akija vady chief?
Kuna sehemu niliona ETI west ham wanamtaka
Leicester wamempa £100,000 @ week
Kiasi ambacho ni Short kwa £120,000 alizowekewa na Arsenal
Jana Wes morgan,Huth,Schimichael wamemuomba Jemie Vardy hasiwaache
Ila mwisho wa siku Suala la Vardy ni matter of weeks tena si Masiku maana mpaka baada ya Euro ndo atatoa Uamuzi anaenda wapi
Yah ahsante Mkuu, ni habari njema sana kwangu kupata CB japo nimemuona mechi chache but he was good,Theo anaweza kuondoka lakini itategemea ni timu ipi itamhitaji.
Theo amekataa kuwa kuwa sehemu ya usajili wa mchezaji mmoja wa Leicester ingawa anatambua sasa kwamba Wenger hatomweka kwenye mipango yake.
Halafu hongera mkuu naona mmepata beki mshahara Eric Bailly kutoka Villarreal leo katua Machester kutia saini.
Mimi wala simtaki, sioni kama yupo vizuri kiasi hicho mupenzi. Nimekumisi hadi mafua![]()
![]()
poleeee nimekuja...... humpendi Vardy magolii?Na bila uwepo wa Wenger usingeipenda ArsenalUwepo wa Wenger ARSENAL FC ni aibu ya washabiki wote wanaoipenda ARSENAL Kwa dhati.
Yah ahsante Mkuu, ni habari njema sana kwangu kupata CB japo nimemuona mechi chache but he was good,
Vipi, Babu hamuhitaji tena Chicharito???Theo anaweza kuondoka lakini itategemea ni timu ipi itamhitaji.
Theo amekataa kuwa kuwa sehemu ya usajili wa mchezaji mmoja wa Leicester ingawa anatambua sasa kwamba Wenger hatomweka kwenye mipango yake.
Halafu hongera mkuu naona mmepata beki mshahara Eric Bailly kutoka Villarreal leo katua Machester kutia saini.
Vipi, Babu hamuhitaji tena Chicharito???
Mkuu acha masihala bwanaBreaking News Arsenal wamesaini mkataba na mgodi wa Tanzanite