Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kama Ranieri ataweza kushinda kwa nini Arsene Who!? ashindwe kutwaa tena, Wenger aendelee tu, Umeona wachezaji wa Leicester wanavyojituma na kukomalia? Kosa liko kwa baadhi ya wachezaji wa Arsenal. Kikosi cha Arsenal kina uwezo kabisa wa kutwaa Kombe lolote. Fans wawateremshie mkong'oto mtaani baadhi ya wachezaji wanaoleta "ujinga" uwanjani.

Brand football ya Arsene Wenger ni tabu kuibua, ina ladha ya kandanda. Kwa wachezaji hakuna kiongozi, anakosekana kiongozi/kiranja imara wa kuifanya timu ijitume ipasavyo uwanjani.
Tazama(kiranja) Morgan wa Leicester utaelewa nini nasema.

CC Enzo
Kwahiyo mashabiki ndo wawe waalimu wa kujituma,hivi wewe unadhan timu zinazoshinda hyo nidham inaletwa na nani,Wenger sio mkali,out wenger
 
Kwahiyo mashabiki ndo wawe waalimu wa kujituma,hivi wewe unadhan timu zinazoshinda hyo nidham inaletwa na nani,Wenger sio mkali,out wenger
Unaelewa kandanda inavyofundishwa?
Mourinho na "ukali" wake na mafanikio yake amefukuzwa kazi na mafiaso wa kirusi.
Unaweza kueleza "ukali" wa Ranieri?
Je Ranieri alipofundisha Chelsea hakuwa "mkali"?

Mimi naamini upoyoyo uko kwa wachezaji. Wenger anafundisha mpira na mbinu nzuri na safi tu kwa mchezo wa kandanda. Tena style ya Arsenal inavutia sana machoni. Kinachokosekana ni wachezaji kujitoa mhanga na kukuza hamu ya kushinda ukiachia wachache kama Coquelin, Alexis,Welbeck, Campbell, Bellerin, Cech, Cazorla.

cc. Ntuzu, Enzo
 
Unaelewa kandanda inavyofundishwa?
Mourinho na "ukali" wake na mafanikio yake amefukuzwa kazi na mafiaso wa kirusi.
Unaweza kueleza "ukali" wa Ranieri?
Je Ranieri alipofundisha Chelsea hakuwa "mkali"?

Mimi naamini upoyoyo uko kwa wachezaji. Wenger anafundisha mpira na mbinu nzuri na safi tu kwa mchezo wa kandanda. Tena style ya Arsenal inavutia sana machoni. Kinachokosekana ni wachezaji kujitoa mhanga na kukuza hamu ya kushinda ukiachia wachache kama Coquelin, Alexis, Campbell, Bellerin, Cech, Cazorla.

cc. Ntuzu, Enzo

Attacking football inavutia sana kuitizamana fine, ila haifanikiwi kila mara (rejea maneno ya santi cazorla leo), yafaa kuweko na mbadala wa mbinu kulingana na unaecheza nae nitakupa mfano

kila msimu arsenal ni lazima wajikute katika wakati mgumu na timu ambazo haziachii ((space)) ya kupenyeza mipira, pia timu zinazocheza too physical, zenye displine na team zinazo kaa na kuvizia ni kama routine

kila msimu arsene wenger anakutana na wakati mgumu akicheza na STOKE (wako phyisical na wanacheza bullying soccer)
swansea lazima wachukue point kwa arsenal, manure, chelsea (( wanaziba spaces na wana piga counter za haraka))

southampton ((arsenal haijaifunga southampton ST.mary's stadium)) toka msimu wa invicibles 2004, na spurs naona wameingia katika mix

ideally wana game 6-7 ambazo lazima watapoteza tu kwa aina ya mpira ambao hizo timu zimejiwekea kucheza na arsenal- hili ni tatizo la kuwa na too much attacking minded na kuacha sana space na kutokuwa na fighters wa kutosha katika timu

UCL - kila round of 16 Arsenal tunatolewa kwa aina ya mpira ule ule kila msimu, opponent ana predict arsenal wata attack sana sie tuzibe space wakichoka tu tunapiga goli la kushtukiza, hii imetokea since 2010-2016 ((attacking without balance utakuwa una concede tu magolii ya kizembe)) nafkiri timu nyingi hupenda sana kupangiwa arsenal katika mtoano kuliko club nyingine yeyote, they are too predicable

argument yangu ya pili:

Timu mpya aliyojenga especially baada ya msimu wa 2007-2008 anajaza sana "technical gifted players who are not too tough" zamani mtu mwepesi alikuwa PIRES tu timu nzima, katika wing, kiungo ambao ni injini ya timu, EPL imekuja onekana kuwa Kiungo unalazimika kuwa na ((wakata umeme)) japokuwa wawe na Technical na wawe very physical, vinginenyo utakuwa BULLIED kila siku

nachoona mimi binafsi, arsene ni kocha mzuri lakini kwa aina ya attacking philosophy hana wachezaji anaopaswa kuwa nao ((very effiecient players)) na hataki kununua sokoni yuko too much patient na under performers wake hasa BRITISH CORE PLAYERS, jambo lingine sio MKALI sio mtu wa motivation kwa players wake, mtu anaboronga kila mechi na anampanga na kumpanga na kupanga tena na kumtetea

kwa kuwa haitakaa itokee afanye mkakati wa kufunga mahesabu awe na efficient players atabakia analalamikia FANS tu kwa makosa yake mwenyewe

msimu ujao ukiisha ajiondokee, after all hakuna anayeamini tena kama anaweza kuleta kombe la EPL

Arsene aende atakuja aibika
 
Ingawa Jerome anacheza kivivu mno....ananiudhi...angebadilishwa tu!!!

na refa anawabeba nyie washika bunduki...mnawavuta sana nguo hawa wana yanga wa uingereza.
 
Mzee Wenger kazi anayo
 

Attachments

  • 1462035577670.jpg
    1462035577670.jpg
    16.5 KB · Views: 62
Attacking football inavutia sana kuitizamana fine, ila haifanikiwi kila mara (rejea maneno ya santi cazorla leo), yafaa kuweko na mbadala wa mbinu kulingana na unaecheza nae nitakupa mfano
........ideally wana game 6-7 ambazo lazima watapoteza tu kwa aina ya mpira ambao hizo timu zimejiwekea kucheza na arsenal- hili ni tatizo la kuwa na too much attacking minded na kuacha sana space na kutokuwa na fighters wa kutosha katika timu

UCL - kila round of 16 Arsenal tunatolewa kwa aina ya mpira ule ule kila msimu, opponent ana predict arsenal wata attack sana sie tuzibe space wakichoka tu tunapiga goli la kushtukiza, hii imetokea since 2010-2016 ((attacking without balance utakuwa una concede tu magolii ya kizembe)) nafkiri timu nyingi hupenda sana kupangiwa arsenal katika mtoano kuliko club nyingine yeyote, they are too predicable

argument yangu ya pili:

Timu mpya aliyojenga especially baada ya msimu wa 2007-2008 anajaza sana "technical gifted players who are not too tough" zamani mtu mwepesi alikuwa PIRES tu timu nzima, katika wing, kiungo ambao ni injini ya timu, EPL imekuja onekana kuwa Kiungo unalazimika kuwa na ((wakata umeme)) japokuwa wawe na Technical na wawe very physical, vinginenyo utakuwa BULLIED kila siku

nachoona mimi binafsi, arsene ni kocha mzuri lakini kwa aina ya attacking philosophy hana wachezaji anaopaswa kuwa nao ((very effiecient players)) na hataki kununua sokoni yuko too much patient na under performers wake hasa BRITISH CORE PLAYERS, jambo lingine sio MKALI sio mtu wa motivation kwa players wake, mtu anaboronga kila mechi na anampanga na kumpanga na kupanga tena na kumtetea

..
Unataka Wenger awe mkali kama Magu?
Unataka Wenger afundishe mieleka na rugby?

Hilo la kutojituma wachezaji nakubaliana na wewe. Sasa hilo ni kosa la Wenger au wachezaji?
Hivi unaelewa Wenger ana wasaidizi katika kufundisha mpira? Kwa hiyo wote hao ni wapole?

Tatizo ninaloliona mimi ni kwa Arsenal kutaka kufunga perfect goal. Norwich walikuwa wanajaribu kufunga kutoka mbali, nje ya box, Arsenal mara chache ndio wanajaribu, ni Ramsey na Elneny ndio hujaribu kutoka masafa ya mbali.

Tatizo linginge ni Arsenal kucheza mpira sana kwenye half yao badala ya kutuma mpira kwa haraka mbele.

Itategemea na kocha mtakaepata hapo Wenger aking'atuka lakini akiondoka mtakuwa sawa na "man United" baada ya Sir Alex "bahasha" kuondoka Man. United. Au mtakuwa kama Newcastle baada ya kumfungisha virago Pardew.

Nataka Pardew achunguzwe kufuatia matokeo ya mechi yao na Newcastle ya jana. Huenda aliuza mechi ili kuiokoa Newcastle.

Ni kocha yupi unataka aje Arsenal na wachezaji wepi wanunuliwe ili waje kucheza hiyo mieleka na rugby?

Leo Wenger ameuachia na Arsenal itaiadhibu Man City. Bado mtacheza CL mnataka nini tena?
cc Enzo
 
Unataka Wenger awe mkali kama Magu?
Unataka Wenger afundishe mieleka na rugby?

Hilo la kutojituma wachezaji nakubaliana na wewe. Sasa hilo ni kosa la Wenger au wachezaji?
Hivi unaelewa Wenger ana wasaidizi katika kufundisha mpira? Kwa hiyo wote hao ni wapole?

Tatizo ninaloliona mimi ni kwa Arsenal kutaka kufunga perfect goal. Norwich walikuwa wanajaribu kufunga kutoka mbali, nje ya box, Arsenal mara chache ndio wanajaribu, ni Ramsey na Elneny ndio hujaribu kutoka masafa ya mbali.

Tatizo linginge ni Arsenal kucheza mpira sana kwenye half yao badala ya kutuma mpira kwa haraka mbele.

Itategemea na kocha mtakaepata hapo Wenger aking'atuka lakini akiondoka mtakuwa sawa na "man United" baada ya Sir Alex "bahasha" kuondoka Man. United. Au mtakuwa kama Newcastle baada ya kumfungisha virago Pardew.

Nataka Pardew achunguzwe kufuatia matokeo ya mechi yao na Newcastle ya jana. Huenda aliuza mechi ili kuiokoa Newcastle.

Ni kocha yupi unataka aje Arsenal na wachezaji wepi wanunuliwe ili waje kucheza hiyo mieleka na rugby?

Leo Wenger ameuachia na Arsenal itaiadhibu Man City. Bado mtacheza CL mnataka nini tena?
cc Enzo

naamini kwa aina ya wachezaji tulionao hata Julio wa mwadui anafika nao top 4...what arsenal need is a motivating coach kitu ambacho AW amepelea....amefail kuwapa hamasa wachezaji wake kipindi ambacho timu inakuwa kwenye wakati mgumu
 
kuwa na kocha ambaye anashindwa kuwajengea wachezaji wake mentality ya kutokata tamaa ni kuendelea kupromote continuous failure....in short AW will never win EPL again with his management style.

Rejea alichosema Dan Alves kabla ya first leg match ya last 16 UCL alisema wanapenda sana kupangwa na Arsenal katika hatua ile kwa sababu wako mentally weak ukilinganisha na timu nyingine....tukajionea wenyewe, baada ya kufungwa goli la kwanza basi wachezaji wakaamini ndo washapoteza mechi tayari

Ila take Liverpool as a benchmark uone jinsi Klop alivyoijenga timu kisaikolojia, same players ila performance tofauti kabisa na ya Brendan....angalia mechi yao na Dortmund from 3-1 down to 4-3 kitu ambacho kwa Arsenal ya AW ni day dream
 
Back
Top Bottom