Unaelewa kandanda inavyofundishwa?
Mourinho na "ukali" wake na mafanikio yake amefukuzwa kazi na mafiaso wa kirusi.
Unaweza kueleza "ukali" wa Ranieri?
Je Ranieri alipofundisha Chelsea hakuwa "mkali"?
Mimi naamini upoyoyo uko kwa wachezaji. Wenger anafundisha mpira na mbinu nzuri na safi tu kwa mchezo wa kandanda. Tena style ya Arsenal inavutia sana machoni. Kinachokosekana ni wachezaji kujitoa mhanga na kukuza hamu ya kushinda ukiachia wachache kama Coquelin, Alexis, Campbell, Bellerin, Cech, Cazorla.
cc. Ntuzu, Enzo
Attacking football inavutia sana kuitizamana fine, ila haifanikiwi kila mara (rejea maneno ya santi cazorla leo), yafaa kuweko na mbadala wa mbinu kulingana na unaecheza nae nitakupa mfano
kila msimu arsenal ni lazima wajikute katika wakati mgumu na timu ambazo haziachii ((space)) ya kupenyeza mipira, pia timu zinazocheza too physical, zenye displine na team zinazo kaa na kuvizia ni kama routine
kila msimu arsene wenger anakutana na wakati mgumu akicheza na STOKE (wako phyisical na wanacheza bullying soccer)
swansea lazima wachukue point kwa arsenal, manure, chelsea (( wanaziba spaces na wana piga counter za haraka))
southampton ((arsenal haijaifunga southampton ST.mary's stadium)) toka msimu wa invicibles 2004, na spurs naona wameingia katika mix
ideally wana game 6-7 ambazo lazima watapoteza tu kwa aina ya mpira ambao hizo timu zimejiwekea kucheza na arsenal- hili ni tatizo la kuwa na too much attacking minded na kuacha sana space na kutokuwa na fighters wa kutosha katika timu
UCL - kila round of 16 Arsenal tunatolewa kwa aina ya mpira ule ule kila msimu, opponent ana predict arsenal wata attack sana sie tuzibe space wakichoka tu tunapiga goli la kushtukiza, hii imetokea since 2010-2016 ((attacking without balance utakuwa una concede tu magolii ya kizembe)) nafkiri timu nyingi hupenda sana kupangiwa arsenal katika mtoano kuliko club nyingine yeyote, they are too predicable
argument yangu ya pili:
Timu mpya aliyojenga especially baada ya msimu wa 2007-2008 anajaza sana "technical gifted players who are not too tough" zamani mtu mwepesi alikuwa PIRES tu timu nzima, katika wing, kiungo ambao ni injini ya timu, EPL imekuja onekana kuwa Kiungo unalazimika kuwa na ((wakata umeme)) japokuwa wawe na Technical na wawe very physical, vinginenyo utakuwa BULLIED kila siku
nachoona mimi binafsi, arsene ni kocha mzuri lakini kwa aina ya attacking philosophy hana wachezaji anaopaswa kuwa nao ((very effiecient players)) na hataki kununua sokoni yuko too much patient na under performers wake hasa BRITISH CORE PLAYERS, jambo lingine sio MKALI sio mtu wa motivation kwa players wake, mtu anaboronga kila mechi na anampanga na kumpanga na kupanga tena na kumtetea
kwa kuwa haitakaa itokee afanye mkakati wa kufunga mahesabu awe na efficient players atabakia analalamikia FANS tu kwa makosa yake mwenyewe
msimu ujao ukiisha ajiondokee, after all hakuna anayeamini tena kama anaweza kuleta kombe la EPL
Arsene aende atakuja aibika