Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ligi ya msimu huu inaweza kuitwa "The DEATH OF THE BIG TEAMS". Timu zote zinazojulikana big teams zimefanya vibaya na kiaibu zaidi. Arsenal ndio tumeiaibisha kuliko hata Manchester United na Chelsea ki maoni yangu. Inakuwaje tumeshindwa kubeba kombe wakati tulikuwa tunashindana bila wapinzani wa kila siku? Wenger out, Wenger out, Wenger out. Nitafuatilia na kushangilia Arsenal msimu ujao. THE END.
 
Ligi ya msimu huu inaweza kuitwa "The DEATH OF THE BIG TEAMS". Timu zote zinazojulikana big teams zimefanya vibaya na kiaibu zaidi. Arsenal ndio tumeiaibisha kuliko hata Manchester United na Chelsea ki maoni yangu. Inakuwaje tumeshindwa kubeba kombe wakati tulikuwa tunashindana bila wapinzani wa kila siku? Wenger out, Wenger out, Wenger out. Nitafuatilia na kushangilia Arsenal msimu ujao. THE END.
Sasa nani kakwambia kuwa Arsene wenger anasepa next season?
 
Aseeee hivi ni kweli ndio tumeukosa ubingwa hata msimu huu? Yaani bado mechi 7 tu afu tuko nyuma kwa tofauti ya pointi 11 na muongaza ligi....

Hebu ngoja nipunzike mapema niachene na hii ligi niwasubiri FRANCE tu hiyo june
 
Aseeee hivi ni kweli ndio tumeukosa ubingwa hata msimu huu? Yaani bado mechi 7 tu afu tuko nyuma kwa tofauti ya pointi 11 na muongaza ligi....

Hebu ngoja nipunzike mapema niachene na hii ligi niwasubiri FRANCE tu hiyo june
Hahahahahabahaba

Babu hana mdhamana.
Hii kitu mwaka huu ilikuwa yetu akachezea kwa uhanithi wake. Unakosaje kombe mzimu huu wakati wapinzani wako wakuu wote wako chali!?

Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
 
Ligi ya msimu huu inaweza kuitwa "The DEATH OF THE BIG TEAMS". Timu zote zinazojulikana big teams zimefanya vibaya na kiaibu zaidi. Arsenal ndio tumeiaibisha kuliko hata Manchester United na Chelsea ki maoni yangu. Inakuwaje tumeshindwa kubeba kombe wakati tulikuwa tunashindana bila wapinzani wa kila siku? Wenger out, Wenger out, Wenger out. Nitafuatilia na kushangilia Arsenal msimu ujao. THE END.
Tukiwaambia nyie ni mabingwa wa mioyoni hamtaki kila mwaka mnasema ubingwa wenu kinatokea kile kile mwishoni mwa msimu ila nashukuru kuna washabiki wenu wengine wanakiri mapungufu hayo kiukweli msimu huu tulitegemea mngechukua ndoo kwani timu kubwa zote hazikuwa vizuri.
 
Hahahahahabahaba

Babu hana mdhamana.
Hii kitu mwaka huu ilikuwa yetu akachezea kwa uhanithi wake. Unakosaje kombe mzimu huu wakati wapinzani wako wakuu wote wako chali!?

Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app

Na mwakani ndio hataanza kuitafuta nafasi ya nne vizuri sasa maana uwepo wa morinho+guadiola+semione/hiddik=wenger ubingwa ni ndoto hata isiyofikirika.
 
Again. Wenger out, Wenger out, Wenger out, Wenger out.... #Trophyless season again, #NoUCL probably...Wakaanga Sumu tutaonana next season mkiwa mnagombania Europa league....My Arsenal mates see you next season.
 
Again. Wenger out, Wenger out, Wenger out, Wenger out.... #Trophyless season again, #NoUCL probably...Wakaanga Sumu tutaonana next season mkiwa mnagombania Europa league....My Arsenal mates see you next season.
Hapo umekosea. Kwa miaka zaidi ya 12 sasa kombe letu limekuwa top4 na kwa miaka miwili iliyopita tukaongezea na FA. LKN hili la kudumu halitupiti tunalo kabisa.

#WengerOut
#SilentStanOut
#WengerOut
#SilentStanOut
#WengerOut
#SilentStanOut
#WengerOut
#SilentStanOut
#WengerOut
#SilentStanOut
#WengerOut
#SilentStanOut

Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
 
Line up yetu against The Hammers
ImageUploadedByJamiiForums1460199689.115191.jpg

All the best my team #COYG.
 
A must win game.
Kombe letu la kudumu top 4 naliona lilee

Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
Kati ya game ngumu hii nayo ipo hawa wehu walitutandika Emirates pale game ya kwanza.
Acha tuupe muda nafasi ingawa timu yetu game ya mwisho ilionyesha morale sana
 
Back
Top Bottom