We subiria sindano ya MOTO hakuna jinsi ya kuelewa tofauti na Defeat
aliyesema DM kwa hakika kavurugwa na kipigo na si kila wazo la shabiki analosema liko sahihi
maana DM kashanunuliwa Mohamemd Elnenny hatujui kwanini hakuwa hata bench ila Yuko
DEPTH iko ya kutosha YEEAH we ndo unawaza hayo sio tunakunywa juice baridii tunasubiria Kukupa za Uso