Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Suares katukosa kosa

Na angetulia angefunga lakini back four wametulia wakiongozwa na boss.

Ni ile man marking tu ndio key wakikosea mahala Cech ataokota mpira wavuni.

lakini Arsenal nao walikosa goli la wazi kabisa na Ox

Half Time na goli ni 0-0
 
Hii set up ya Wenger nimeipenda leo maana ile positioning imekuwa key na Ozil amekuwa akimzuia Messi na kutupa mipira haraka upande wa kushoto kwa Sanchez na mpaka sasa hali si mbaya.

Barcelona wamemiliki mpira aslimia 70 na Arsenal asilimia 30.

Tungoje kipindi cha pili.

Wacha 1 upo wapi mkuu?
 
Bado najiuliza Ox-Chambo alishandwaje ku-convert hii kitu
ImageUploadedByJamiiForums1456259924.177194.jpg
 
Swali kuntu: mtaweza ku defend hivyo hivyo kwa dakika nyingine 45?

- OX anatoka anaingia Gibbs.

- towards the dying minutes of the first half mlipotea kidogo, si ndo uchovu huo? Wish u the est lakini. Hope hamtamuharibia Cech historia yake na Messi.
 
Sub Ox-chambo out Theo Walcot In
Tunapoteza mipira kirahisi sana aseee hii itatugharimu jamaa hawana masikhara.
 
Alex Oxlade Chamberlain bado anachechemea na Theo Walcott na Joel Campbell wanafanya mazoezi mepesi.
 
Oxlade Chamberlain anatoka ameshindwa kuendelea na mchezo na Theo Walcott anaingia badala yake.
 
Back
Top Bottom