Bado milango migumuMatokeo?
Sana,namkubali huyu jamaaJambo linguine la muhimu ni kwamba Arsenal walifanya jambo la mbolea sana kumsajili Petr Cech.
Ni kipa wa maana kabisa.
Hawa Barca wanapigika kabisaGame limeanza kufunguka na Arsenal wanajaribu kutafuta goli la nyumbani la kwenda nalo Nou Camp na Barcelona nao wanafurahia kucheza na mpira ndani ya nafasi za hapa na pale wanazozipata.
Dakika inakwenda ya 65 goli ni 0-0
Giroud alitakiwa aende bench kabla mambo ayajaharibika, sema Hawa makocha sijui wanakuwaga na fantasy gani, Kila mtu aliona Leo sio siku yake lakini kamuacha anacheza dakika 70. Upuuzi kabisa huu.