Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal line-up Vs Barca+wahamiaji
ImageUploadedByJamiiForums1456254963.791470.jpg
 
Team news

Arsenal:
Cech, Bellerin, Mertesacker, Koscielny, Monreal; Coquelin, Ramsey; Oxlade-Chamberlain, Ozil, Sanchez na Giroud.

Barca:

Ter Stegen; Dani Alves, Pique, Mascherano, Jordi Alba; Busquets, Rakitic, Iniesta, Suarez, Messi, Neymar.

Mwamuzi ni Cuneyt Cakir ambae anatoka Uturuki.
 
Mimi ni wa huku long time sana,sema siku hizi nimepotea tu.
Nilikuwa na kaka zangu kina utafiti BAK na shostie Honey Faith baada ya wao kupotea nimekosa nguvu ya kuja huku.
Ina mimi ni mwana Arsenal damu kabisa hata popoma GENTAMYCINE anajua.
Mimi humu huwa natania na kutupa mawe Kwa watani zangu nawaita ArsayNO The Mandaz...Nawatakia best wishes ila mkifungwa lazima NIKINUKISHE km kawa hapa
 
Watu leo wanajikataa tuu
Km huamini nenda Jukwaa LA Man. Utd pitiapitia post uone
Unaonekana mgeni..hata hapa ArsayNO tafuta post zangu zipo nyingi uone km nashabikia The Mandaz au muulize SWAHIBA The Name
 
Mpira karibu utaanza muda si mrefu, timu zote zipo katikati ya UWANJA
 
For the brave nothing is too difficult all the best Arsenal,bring it on...!
COYG....!
 
Arsenal wanajitahidi kumtupia mipira Olivier Giroud kwa haraka ni mwanzo mzuri kabisa.
 
Mesut Ozil Olivier Giroud na Joel Campbell ni lazima wajitahidi wasionyeshwe kadi za njano maana watakosa mechi ya marudiano.

Itakuwa ni mara ya tatu kwa kila mmoja wao kuonyeshwa kadi hiyo.

Dakika inakwenda ya 9 Arsenal 0 Barcelona 0
 
Back
Top Bottom