Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Shukrani ziwaendee Leicester City kwa kutuachia points 6 na 7 goals ila wajue hatuna muda wa kulea vitoto msimu huu na huo ubingwa mtapata kupitia maboya uko wanaowaogopa sio Arsenal.
Shikamoo mdogo wangu Ozil kwa assist ila shikamoo mdogo wangu Danny Boi kwa mgoli wa ndosi.
 
It was a massive game Arsenal vs Leicester, man u,Chelsea, Liverpool, man city,Tottenham...!
COYG....!
 
2 points behind na Leicester wapo shattered.

Arsenal wameshambulia sana wasingeweza kutofunga goli.

COYGs!!
Ila tuwe wakweli, leicester means business, waliweka ukuta mmoja wa Berlin, wako organised sana!
Dah, hizi mechi tutatoana roho kwa wasiwasi!
Sasa spurs na mancity wadroo tu, siku yangu itakuwa nzuri zaidi.
 
Ila tuwe wakweli, leicester means business, waliweka ukuta mmoja wa Berlin, wako organised sana!
Dah, hizi mechi tutatoana roho kwa wasiwasi!
Sasa spurs na mancity wadroo tu, siku yangu itakuwa nzuri zaidi.

Ndio kila mtu anaombea hivyo.

Man City wana nahodha Vincent Kompany amerudi.
 
Tumemaliza Shughuli, Points Muhimu Na Tunapunguza Pengo La Points Toka 5 Hadi 2 Tu!!!
 
2 points behind na Leicester wapo shattered.

Arsenal wameshambulia sana wasingeweza kutofunga goli.

COYGs!!
Mpwa ivi wale watabiri mbona hawaji uku kwetu maana walihesabu sana siku kua tunakufa leo naomba waalikwe kwenye harusi hii waambiwe tumeshamuoa shoga yao waje wacheze singeri hapa kibaraza cha Emirates
 
everlenk ule msiba umeenda wapi mbona huku London hauko???! Khe khe....

Mi nafurahi wifi yako kafurahi...wikiendi itaisha vyema maana ile penati mpaka nkashindwa kushangilia.
 
everlenk ule msiba umeenda wapi mbona huku London hauko???! Khe khe....

Mi nafurahi wifi yako kafurahi...wikiendi itaisha vyema maana ile penati mpaka nkashindwa kushangilia.
kitendo cha kushangilia lile tuta kingepelekea kunyimwa unyumba leo...ulifanya vyema sana mkuu, ila naomba niulize kidogo; unajisikiaje sahivi?
 
kitendo cha kushangilia lile tuta kingepelekea kunyimwa unyumba leo...ulifanya vyema sana mkuu, ila naomba niulize kidogo; unajisikiaje sahivi?

Kama mpenzi wa Chelsea nimekasirika kinomaaaaaaa...

Kama mpenzi wa football am neutral...they both deserved the results they got.

Kama family man nimefurahi maana mabusu na makumbatio yamekuwa mengiii...tunaelekea nyumbani sasa. ;-)
 
Kama mpenzi wa Chelsea nimekasirika kinomaaaaaaa...

Kama mpenzi wa football am neutral...they both deserved the results they got.

Kama family man nimefurahi maana mabusu na makumbatio yamekuwa mengiii...tunaelekea nyumbani sasa. ;-)
happy valentine's day mkuu, leo utapewa zaidi ya ulivyozoea coz kw huu ushind libido lazima iwe juu usiku wa leo tenhe tenhe tenhe
 
Back
Top Bottom