Pamoja Sana mkuu![]()
Arsenal leo wamepata 3 points muhimu na kuweka hai matumaini ya kunyakua kombe la EPL
Hawakucheza sana wala kwa kutumia nguvu nyingi kwenye mchezo huo lakini walionekana dhahiri wanaangalia mechi ijayo kati yake na Leicester jumapili ijayo.
Wakuu, basi tukutane hapa jumapili saa 6 za mchana kwa saa za Ulaya au saa 9 alasiri kwa saa za Tanzania.
wataelewa tuFT 2-0 another clean sheet Alhamdullilah tunajisogeza thanks lads kwa pointi 3 muhimu tunarudi gheto kumsubiri uyo anaewasumbua.
Messi alimuambia Suarez......
.Messi: Unajua Suarez Leo lazima unipe assist nyingi.....
.Suarez: kwanini Messi???
Messi: Mwanangu anataka ⚽ mpya nimemuahidi nikirudi nampa wa mechi hii ya valencia.
Suarez: Daaahh nami nimemuahidi mwanangu kuwa leo lazima nimpelekee ⚽ mpya sasa tunafanyaje???
Neymar: OK, Msijali Mimi nitawapa assist wote wawili na kila mmoja atampelekea mwanae ⚽.
Arda turan: Nami nitamsaidia neymar msijali.
Baada ya gemu
Wote:
Messi: bado nani mwanae anataka mpira?
Neymar: Mimi mwanangu anautaka ⚽ wa mechi ya Arsenal.
Timu nzima: Na sisi pia watoto wetu wanataka ⚽⚽⚽
Iniesta: sasa nawe kipa unautaka tena utawezaje kupiga Hattrick???
MSN: msijali kila mmoja siku hiyo ataondoka na ⚽ wake
Kocha: Ma mimi pia nautaka.
Heeee mentali ndo tunachukua kombe mwaka huu you're so low kupigia upatu championship team. Ni wale lgv au wapigania kutokushuka daraja
Hahahhaaaa uchokozi huu aiseee
Jina : ArsayNO The MandazTupo jumapili tunafanya yetu ni nafasi ya pili kwa points 2
