Arsenal kuifunga Man United,Chelsea au Man City sio mpaka bodi ya Arsenal iamue still Arsenal walikuwa na nafasi kubwa kutwaa ubingwa kama Wenger angekuwa anatumia approach anayoitumia sasa.Rodgers msimu wake wa pili ilibaki kidogo kuchukua ubingwa kama asingechemsha zile game mbili ,sidhani kama bodi ya Liverpool ilitaka apiganie ubingwa lakini timu ilicheza kupigania ubingwa
Sababu za kuondoka kina RVP,Nasri,Helb,Song,Cesc,Clichy zinajulikana kwanza walikuwa na viwango vizuri kuliko hata hii timu ya sasa.Kumbuka RVP alitakiwa na ManCity,United na Juventus Nasri alitakiwa na United & City the same kwa Cesc,Helb,Flamini .Hii miaka 3 sijawahi sikia mchezaji wa Arsenal anayetakiwa na hizo timu
Sababu za Arsenal kufanya vizuri kwa sasa ziko wazi
1.Wenger amebadilisha approach hasa anapokutana na timu kubwa ,siku hizi Arsenal anazidiwa possesion still anashinda,huko nyuma Arsenal wanaingia kwenye box wanaendelea kupiga pasi badala ya kupiga mashuti Sanchez,Carzola,Ramsey siku hizi wanafunga magoli nje ya box
2.Timu pinzani (Man United,Man City,Chelsea,Liverpool) zimeshuka viwango na vimeathiriwa sana na kubadilisha makocha mara kwa mara
3. Waliokuwa average players wengi viwango vyao vimeoprove sana (Per,Berrelin,Monreal,Gibbs,Coq,Giroud,Walcot,Ramsey).Pia AW alifanya uamuzi mzuri kupunguza magarasa mengi (Diaby,Santos,Podolski,Shenzy,Chamakh,Djourou,Sanogo hawa walikuwa mizigo)
Mwisho,tukubaliane kutokukubaliana