Bukayo jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 2,782
- 1,647
Sio kuwabeza, ila ukweli lazima usemwe! Weak link leo ni mabeki wa kati Na Flamini wamechangia goli tatu za kizembe, na hasa Per! Sio kubeza, ni kusema ukweli! Point 36 tunazo na tuko juu ila sababu mojawapo ni kwamba timu kubwa kama chelsea na mancity hazifanyi vizuri mpaka sasa, kwao si kawaida ndo maana kwa siso tuko juu!
Tuendelee kuomba wasifanye vizuri ili tuchukue ndoo, ila msimu ujao bahati haitakuka upande wetu maana chelsea watarudi!
Nina hofu pia na Tottenham, wanakimbiza mwizi kimya kimya na hatujaenda kwao!
Umetaja Ozil na sanchez tu peke yao
na point 36 hiz tumezipata kwa kumpiga na City huyu huyu na hao wengine wameshindwa kuzifikisha so far let's appreciate our team's efforts, na tukubali league ni ngumu kila timu ni beatable
Flamini inafahamika sio mtu wa kutuvusha mbali ila by next week dirisha litakuwa open NEW DM ni lazima
ila kauli yako kuwa wachezaji woote ni useless ispokuwa Ozil na sanchez ni kupanic tu na mshktuko wa matokeo hamna kingine
Ubingwa kuona nan anachukua Sio sasa ni hukooo march ndio unaona huyu na huyu wanabeba....
historia iko wazi walio na 35+ points by christmass ndo tittle conteders so far naona City na Arsenal mpaka mwisho
atakayekuwa consistent atakuwa bingwa next may 2016