Kwa Arsenal hii ni lazima kuwaombea njaa maadui hasa Mancity, kwa miguu yetu pekee sisi The Gunners ni ngumu sana, hamna fighting spirit. LAZIMA TUSEME UKWELI, unafiki sio mzuri!Mwaka wetu huu lazima tuchukue EPL,uwanja tumejenga hatuna deni lolote,kwanini Tusiwe wabingwa........ #COYG
Huyu ndo Wenger ninayemfahamu mimi furaha kidogo machozi sana........
Leo Arsenal walitaka kuongoza ligi. kwa kuteleza teleza kwa mabeki hovyo sio mlo wa X-mas kweli?Nimekula, wameniudhi sana! Unajua unaweza fungwa ila bado ukaikubali timu sababu ya kuonyesha kupigana mpaka jasho la mwisho, ila sio leo!
Nimepewa za uso NNE hapa uso umeumika sioni vizuri.
Kwa Arsenal hii ni lazima kuwaombea njaa maadui hasa Mancity, kwa miguu yetu pekee sisi The Gunners ni ngumu sana, hamna fighting spirit. LAZIMA TUAEME UKWELI, unafiki sio mzuri!
Nawe naona europa nayo inataka kukukimbia!
Mwaka wetu huu lazima tuchukue EPL,uwanja tumejenga hatuna deni lolote,kwanini Tusiwe wabingwa........ #COYG
Huyu ndo Wenger ninayemfahamu mimi furaha kidogo machozi sana........
everlenk njoo muone hii Nonda inaleta uchambuzi yake na huku kwa gunners. Hii ni mutu ya hatai sn..... Kule kwetu naondoka na chadomo......Leo Arsenal walitaka kuongoza ligi. kwa kuteleza teleza kwa mabeki hovyo sio mlo wa X-mas kweli?
Yale mabao 3 ya mwazo yote hayahesabiki, la kwanza yule alirudisha mpira kwa mfungaji alikuwa off side, la pili pia ,la tatu halikuwa corner..makosa ya linesman na mwamuzi. Goli la nne halali kabisa. S A walicheza kama wanacheza fainali, pace ya ajabu, kukaba kama wanamkaba kibaka, Arsenal wao walikuwa goigoi na wanajifunza kutembea kama mutoto ya mwaka na miezi 2.
Nimependa S A walipoona wanayo nafasi ya kufunga hata mabao 6 wanajituma kufunga. Arsenal wakifunga mabao 2 wanacheza mpira kulinda kuongoza na likirudishwa moja, unaona wanacheza sarakasi.
Mshindi wa leo ni Man City amerudisha matumaini ya kunyakua ubingwa.
Hii ni EPL.
mkuu nakuunga mkono asilimia 90%....ukiangaangalia arsenal wachezaj weny hadhi ya kuichezea team ni ozil na sanchez
Pia Mertesacker na Boss wanaonekana wamechoka sana. Kama kungekuwa na mabeki wa maana wa ziada hawa wawili wangepumzishwa kidogo.
Leo weakness ya Arsenal imeonekana kwa hawa wawili na Flamini.
Mi nadhani Sanchez, Cech, Ozil, Coq, Monreal, Bellerin ndo wachezaji pekee wenye kuweza kuifikisha timu inapotakiwa!Weakness ya Arsenal ipo kwenye Defensive Midfield na huo ndio ukweli halisi.
Aesene Wenger atoe pesa mwezi ujao amsajili Victor Wanyama ambae leo amemwonyesha kwamba yeye hio kazi anaiweza.
Wenger asiogope kulipa hio milioni 20 wanayoitaka Southampton stoe tu.
Mathieu Flamini leo kapatikana pale katikati na akawa exposed na Shane Long na Saido Mane.
Soton 0-4 Arsenal
Sio kuwabeza, ila ukweli lazima usemwe! Weak link leo ni mabeki wa kati Na Flamini wamechangia goli tatu za kizembe, na hasa Per! Sio kubeza, ni kusema ukweli! Point 36 tunazo na tuko juu ila sababu mojawapo ni kwamba timu kubwa kama chelsea na mancity hazifanyi vizuri mpaka sasa, kwao si kawaida ndo maana kwa siso tuko juu!Mmm nina walakini na kuutazama mpira au kipigo kimekuchanganya mbaya
vipi kuhusu Nacho? ambae so far ni best left back pale EPL, Bellerin? unazungumziaje Peter Cech
Unasema nin kuhusu Kos? Santi? Coqeulin
Isiwe kikitokea kipigo tu mnadharau timu yenu yoote so far point 36 wamepata hawa hawa wachezaji..unaowatukana na kuwabeza
walioshusha wachezaji wa bei mbaya kama Manure wako wapi?an city ana Defeats 5 so far kwenye EPL
kubali tu ligi ni ngumu hii ni imekuwa haitabiriki kbs
Kwa kifupi kiungo imepotea....
na combative football na aggressivenes ya Soton imewashindisha game...
ila jumatatu wana winnable game na Bornamouth pale Emirates
Hii mechi itakuwa ngumu sana maana wenger atatakiwa kufanya rotation, katimu kagumu sana kale ukizingatia kikosi chetu kwa sasa ni chembamba mno! Hivyo chochote chaweza tokea!Kwa kifupi kiungo imepotea....
na combative football na aggressivenes ya Soton imewashindisha game...
ila jumatatu wana winnable game na Bornamouth pale Emirates