Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Aiseee poleni humu ndani maana kupigwa mkono mzima ni hatari
 
per-mertesacker-bayern-munich-dejected-woe-arsenal-champions-league_3372977.jpg


bayern-munich-arsenal-robert-lewandowski_3372936.jpg


thomas-muller-bayern-munich-arsenal-champions-league-goal-celeb_3372940.jpg


arsenal-table-group-f-four-matches_3372965.jpg
 
Leo ni tarehe 5, tunaapisha rais wa 5 na Arsenal kapigwa 5...........khe khe khe khe khe khe khe khe khe.......
Khe khe khe eeeee Namba 5 bado inatawala siasa za Tanzania Rais wa 5 mwaka 2015 Miaka 55 baada ya Uhuru Uchaguz wa vyama vingi wa 5 na pia anaapshwa tareh 5, na arsenal anakula 👊🏽
 
attachment.php


Bayern walipata rahaa ............. kavu kavu hiyo.
 

Attachments

  • Arse888 5bila.jpg
    Arse888 5bila.jpg
    32.1 KB · Views: 268
The Mandaz
Wapokeeni watu wenu
 

Attachments

  • 1446732162423.jpg
    1446732162423.jpg
    36.3 KB · Views: 143
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee msijali sisi na Munchen points draw wametuzidi magoli mawili tu kutokana na majeruhi tuliyokuwa nayo. All in all vijana walijitahidi sana na waswahili wanaema mcheza kwao hutuzwa. Bring them on.
 
:sly::sly:😀😀😀
 

Attachments

  • 1446744364337.jpg
    1446744364337.jpg
    8.6 KB · Views: 108
Mkuu Sizinga vip kitambo saana.
ni kweli tuna majeruhi mkuu lakini naamin Wenger anaenda Munchen kwa lengo la kupata matokeo mazuri na sio kufungwa ili akomae na ligi na kama imetokea Gunners tumefungwa sidhani kwamba hiyo ndio itakuwa sababu ya kuitoa.
#COYG.

Pamoja bro....next game ni against Spurs bila shaka pale Emirates tupo nyumbani tutawavuruga sana...hawa jamaa hawatusumbui kiivyo, it will be a nice Derby...lets wait this weekend is coming soon
 
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee msijali sisi na Munchen points draw wametuzidi magoli mawili tu kutokana na majeruhi tuliyokuwa nayo. All in all vijana walijitahidi sana na waswahili wanaema mcheza kwao hutuzwa. Bring them on.

Hapa ndipo ninapokukubali Ngoja nami nicheke kihuzuni kidogo kwi kwi kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Back
Top Bottom