Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mwaka huu tunagombania PL kwa 25,000% hata ikibidi tuchakachue points kupata ndoo ya ligi as CCM walivyofanya itabidi tufanye.. Bayern Munich wanazidi kutushindilia lol
 
Wenye Roho za kuku ndio watajitosa baharini, Roho za paka tunakufa na meli.
 
Hivi ni buyern wazuri saaaaanaaa au arsenal wabovu sana ulaya?
Dah!
Kipindi cha kwanza kimenitosha, nimerudi kulala!
 
mumebaki na 3 pointi zenu icje yakawakuta ya man u ya d moy
 
Conclusion we're out of CL mapemaaa.Tujipange katika ligi na FA CUP.Nipo mzigoni leo, mkuu

HahahAha poleni usijali haya matokeo ya leo yamefutwa na UEFA, yatakayohesabiwa ni Yale mliyowapiga 3....lol
 
Conclusion we're out of CL mapemaaa.Tujipange katika ligi na FA CUP.Nipo mzigoni leo, mkuu
Ligi ipi mnaweza kuchukua nyie?! labda impelekwe ligi ya wanawake , FA Cup ndio mnaweza kubeba mana ndio makombe yenu, mjitahidi mkifika huko FUTUHI League mlete changamoto, sio mnafungwa tena 5 kama mlikua pungufu.

Kuna maisha nje ya uefa, arsenal tupo vizur ni muda wetu wa kukomaa kwenye ligi na Fa
 
Hii table hata Jecha hawezi kupindua matokeo.
 

Attachments

  • IMG-20151105-WA0003.jpg
    IMG-20151105-WA0003.jpg
    35.6 KB · Views: 240
mpira unakoelekea siko kabisa, hadi uefa nako kuna brown envelop?
 
Back
Top Bottom