Bwai
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 721
- 488
Idadi kubwa ya majeruhi inatukosti kwa mara nyingine.... Medical team ya Arsenal itakuwa imesomea Muhimbili.
Hahahaaaaa nimecheka Sana, inamaana huwaamini ma Dr wanaozalishwa kwenye Chuo chetu mkuu???
Idadi kubwa ya majeruhi inatukosti kwa mara nyingine.... Medical team ya Arsenal itakuwa imesomea Muhimbili.
HT Arsenal -1 Tottenham Spurs
Hahahaaaaa nimecheka Sana, inamaana huwaamini ma Dr wanaozalishwa kwenye Chuo chetu mkuu???
Ningeshangaa kama usingetia maguu yako hapa hahaaaa ama kweli adui mwombee njaaaEeeh Mungu naomba matokeo ya hawa arsenal yasibadilike yaani wasirudishe hilo goli bali waongezewe.
Amen
Eeeh Mungu naomba matokeo ya hawa arsenal yasibadilike yaani wasirudishe hilo goli bali waongezewe.
Amen
Hahahaha Leicester City wapo moto hadi sasa... Kina Tashna(Duh unavyowakumbuka,nilishawasahau) watakuwa wanavaa jezi ya Jamie Vardy. Summer tutasikia mnampandia Vardy kidau aje OT.
Fukuzeni huyu Wenger hawa wachezaji wenu (watoto) sijawahi kuwasikia popote duniani wakicheza eti ndio wapambane na full mziki wa tot'ham.
Ngoja nikalale. Mtanipa matokeo, tutabaki 2nd place...
Ningeshangaa kama usingetia maguu yako hapa hahaaaa ama kweli adui mwombee njaaa
Ha ha haa nakosajee...
Adui yako mwombee njaa...wataisoma namba...hawawez kutuacha kwa point nne nikacheka nao