Tunaweza kushindwa kuingia round ya 16. Hadi sasa tupo mkiani.
Hahahaha Jumapili baada ya mechi tutasikia nyimbo za Wenger Out
Safi sana Olympiakos
Yule Kijana wetu Wellbeck mmeshamuuza au kapewa mikoba ya Diaby ?
Napita tu jamani.....
siku hizi unatokea mkishinda au tukipigwa ubaya. Mama mdogo anakuweka busy Brussels. Kwa mwendo huu nakubai jumapili tunakuja kupigwa tena. Defending ilikuwa mbaya sana...
Hahahaha nipo Mkubwa .... kampeni zinanifanya niwe busy lol
Kwa mechi niliyoangalia leo.... jumapili inabidi niwe na stock ya kutosha ya kujipongeza
Martial Magoli itabidi nikamuwekee hela atatupia tuu kwa beki ile
Haya waletee!
Kwa matokeo kama haya jumapili ni either kutoangalia mpira,kutoingia JF au kupiga mvinyo then kulala. Vibonde wametugeuzia kibao.