Kwa matokeo kama haya jumapili ni either kutoangalia mpira,kutoingia JF au kupiga mvinyo then kulala. Vibonde wametugeuzia kibao.
Nadhani kuna kitu mkuu. Dogo alikuwa haumii hivi kwenu, kaja kidogo kaumia kama mara 100 kidogo.... Atarudi December.
Mhhhhhhh!!!!! Vipi Barca?
Hahahaha nipo Mkubwa .... kampeni zinanifanya niwe busy lol
Kwa mechi niliyoangalia leo.... jumapili inabidi niwe na stock ya kutosha ya kujipongeza
Martial Magoli itabidi nikamuwekee hela atatupia tuu kwa beki ile
Wenger Ana Msaada gani pale! Nilikuwa enzi zake lkn sasa hivi atupishe! Pumbavu kabisa jitu gani halishauliki? Nunua wachezaji hutaki, shida sasa hutaki! Yaaaan wenger! Nayo body ya arsenal hata viongoz wa simba na yanga wanawazidi wangekuwa washatimua ----- huyo.
Kuna team itapigwa goli 8 kama enzi zile.
Ninajua na kule kwingine uta deactivate account yako kama kawaida yako
Jumapili everlenk na cute b watakuwa na raha sana maana Memphis na Martial watacheka na nyavu tuu
Ila masikhara pembeni timu za England zisipofanya vizuri msimu huu, msimu ujao watapunguziwa nafasi moja {kama sijakosea}... kwahiyo mabingwa wa kumaliza wa nne kazi mnayo
kuna namna katka hili...mana kwe2 huyo dogo mpaka nilikuwa nawaza haumii tu..lakn huko kwenu majeruh kutwa kucha
Jumapili tunacheza na wateja wetu
Kama England watafanya vibaya msimu huu na msimu ujao na Italy wakafanya vizuri, kuanzia msimu 2017 ndo watapunguziwa, sio mwakani, nimeona hii kitu BBC sports.Ninajua na kule kwingine uta deactivate account yako kama kawaida yako
Jumapili everlenk na cute b watakuwa na raha sana maana Memphis na Martial watacheka na nyavu tuu
Ila masikhara pembeni timu za England zisipofanya vizuri msimu huu, msimu ujao watapunguziwa nafasi moja {kama sijakosea}... kwahiyo mabingwa wa kumaliza wa nne kazi mnayo