Kuishabikia arsenal ni sawa na kuishi na mke ambaye ni malaya/kahaba lakini unamvumilia tu hvyo hvyo kama vp mashabiki wa arsenal tuhamieni man city kwa mda tu
Bora city hvyo hvyo kuliko arsenal wallah wenger asipotimuliwa tutaishia kushiriki kila ckuMan city wenyewe sasa hv majanga.
We still have hope. Soccer ni mchezo wa ajabu, Bayern Munich lazima walale...
View attachment 292998
![]()
Don't worry Arsenal Fans. Your next UCL match will be just against Bayern.
Mh! Kazanieni FA cup aisee...!
Bayern ndio mnawaogopa? Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nicheke mie. Tutacheza bila presha na tutawapiga hiyo tarehe 20 njoo uangalie kitale.
Ninajua na kule kwingine uta deactivate account yako kama kawaida yako
Jumapili everlenk na cute b watakuwa na raha sana maana Memphis na Martial watacheka na nyavu tuu
Ila masikhara pembeni timu za England zisipofanya vizuri msimu huu, msimu ujao watapunguziwa nafasi moja {kama sijakosea}... kwahiyo mabingwa wa kumaliza wa nne kazi mnayo
Punguza mbwembwe jomba hats Man utd enzi za babu Fergie tuliwahi kutolewa group stage itakua nyie ? Bayern IPI ya kuifunga bila presha ? MNA defence ya kumzuia Lewandowski dabodabo ?
Sometime ongeeni hali halisi co ushabiki
Sante... mwaka mbaya kwetu....