rubaman
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 4,983
- 3,084
Rentboys wamepata ahueni. Tusubiri jumamosi tuone itakuwaje Chelsea vs Arsenal?Pole...naona rentboys tu ndiyo wanajidai sasa...
Rentboys wamepata ahueni. Tusubiri jumamosi tuone itakuwaje Chelsea vs Arsenal?Pole...naona rentboys tu ndiyo wanajidai sasa...
Nahudhunika nilipo lol
Poor Wenger... hakuona ile kadi nyekundu ya Girou ilikuwa inakuja? Kwa makosa ambayo Girou alifanya na ukali wa mwamuzi, Wenger ilimpasa kumtoa Girou baada ya kadi ya mwanzo.Game over na Arsenal wameanza vibaya kombe la mabingwa wa Ulaya.
Arsene Wenger ameidharau hii timu na kupelekea kufungwa, wapenzi wa Arsenal tuwe wakweli kwenye hili.
Poor Wenger... hakuona ile kadi nyekundu ya Girou ilikuwa inakuja? Kwa makosa ambayo Girou alifanya na ukali wa mwamuzi, Wenger ilimpasa kumtoa Girou baada ya kadi ya mwanzo.
Barca alifungwa bao safi leo. Hiyo ndio ilikuwa mechi ya kuangalia leo.
Poor Wenger... hakuona ile kadi nyekundu ya Girou ilikuwa inakuja? Kwa makosa ambayo Girou alifanya na ukali wa mwamuzi, Wenger ilimpasa kumtoa Girou baada ya kadi ya mwanzo.
Barca alifungwa bao safi leo. Hiyo ndio ilikuwa mechi ya kuangalia leo.
Mkuu Kashengo, kama priority ni EPL basi angeanza na timu ngumu, yaani nyuma Hector Berelin, Nacho Monreal na Mertesacker wangeanza kule nyuma.
Pale katikati Coquelin , Ramsey na Walcott wangeanza kule mbele na Arsenal wangeifunga Dinamo Zagreb au kutoa sare ya 1-1 au 0-0.
Mikael Arteta, Mathieu Debuchy, Gabriel Paulista na Giroud wpote wangeingia kipindi cha pili na wale watakaoanza Jumamosi na Chelsea wangepumzishwa.
Si umeona Coquelin na Walcott wamekuja kipindi cha pili na wamerudisha heshima ilopotezwa na Arteta na Debuchy?
Ni planning tu na si vinginevyo.
Bila hayo bado Arsene Wenger alitakiwa asajili DM na Striker mwingine na ndio ambao wangeanza kucheza leo.
Nimekosea kuandika, nilikusudia mechi ya kuangalia ilikuwa baina ya Ze bluuzz na Makapi wavivu. lolMhhhhh mechi ya kuangalia???! Kulikuwa na mechi inaboa kama ile kwa zilizochezwa jana kweli? Au unazi tu!!!!
Chelsea are like a wounded animalpreshaaa imeanza.....