Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Beki mshahara Gabriel Paulista anafanya kazi ya ziada kumdhibiti Hazard lakini anaepuka kupewa kadi kwani ameonekana kama amemvuta shati Hazard.
 
_85637896_nachomonreal_reuters.jpg


Monreal .... ...... ..... COYG
 
Ramsey anakosa hapa ..... .... ..... end to end now as the halftime nears ... .... ... . Costa anaanza fujo zake ...what a shame. Yellow for Costa & Gab fujo bado zinaendelea ... ........

Red for Gab ..... .. ndio Mike Dean huyo.
 
Mike Dean anaandamwa atoe kadi nyekundu baada ya Gaby kupewa kadi ya kwanza ya njano.
 
Diego Costa ndie aliepaswa kupewa kadi nyekundu lakini anafanya udanganyifu kumtafutia Gaby kadi nyekundu.
 
Red Card za football ya miaka hii kwa wachezaji wa zamani foul zao wangepewa Red Card 3 wakati mmoja hizi Catfight zimekuwa Red card siku hizi basi wangetolewa wengi game hii Leo.
 
Sajilini wachezaji wazoefu..achaneni na watoto hao...watawacost..hizo ndio technic za mchezo..poleni.
 
😹😹😹😹😹😹 hii red card hii siyo kabisa.......duh!! Poleni sana ila mkikomaa mtashinda.
 
Habari za mapumzikoni ni kwamba Arsenal watapinga hio kadi ya njano na pia FA wataangalia vitendo vya Diego Costa kwa kungalia pia taarifa ya Mike Dean.

Kama Mike Dean atasema hakuona Costa akimpiga usoni Laurent Colcielyn basi wataangalia video evidence na kubadilisha kadi kuwa nyekundu.
 
Back
Top Bottom