Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ni disaster!

giroud-red-card_3442554b.jpg


Olivier Giroud anaonyeshwa kadi nyekundu baada ya kumkwatua mchezaji wa Dnamo Zagreb tena kwenye dakika ya 40

Ni kadi ya pili ya njano ndio imesababisha kadi yote haya, ile ya kwanza alipewa mapema kipindi cha kwanza kwa kutamka maneno mabaya kwa mwamuzi.

Kadi hii ya pili inatokana na kumkwatua mchezaji wa Zagreb Ivo Pinto.
 
Mpira ni mapumziko.

Arsenal wanakwenda mapumziko huku wakiwa nyuma kwa goli 1 -0

Na kwa kusahihisha tu ni kwamba goli hilo ni la kujifunga na Alex Oxlade Chamberlain ndie aliefunga goli hilo nyavuni kwake.
 
Mpira ni mapumziko.

Arsenal wanakwenda mapumziko huku wakiwa nyuma kwa goli 1 -0

Na kwa kusahihisha tu ni kwamba goli hilo ni la kujifunga na Alex Oxlade Chamberlain ndie aliefunga goli hilo nyavuni kwake.

hivi uyu jamaa mpaka leo atakua kajifunga magoli mangapi kwa ligi zote
 
Half Time Analysis

Arsenal hawajacheza kabisa mpira.

Wachezaji wote wamecheza kipindi cha kwanza kama vile ndio kwanza wanakutana baada ya likizo ndefu.

Viungo wote Ozil, Arteta, Chamberlain, Cazorla wanapoteza miira katikati bila sababu za msingi hivyo kukaribisha mashambulizi ya kila wakati kutoka kwa vinana wa Zagreb.
 
hivi uyu jamaa mpaka leo atakua kajifunga magoli mangapi kwa ligi zote

Alipotza mpira kwa mshabuliaji wa Zagreb na akawa anajaribu kutaka kumpokonya huo mpira lakini akajikuta anauingiza wavuni kwake.
 
Dakika inakwenda ya 50 Dinamo Zagreb 1 Arsenal 0

Arsenal wamekuja na dhamira sasa Mesut Ozil na Alexis Sanchez na Santi Cazorla wameanza kuamka.
 
Mesut Ozil anaambiwa ameotea tena!

Arsenal wanakaribia kusawazisha goli.
 
Back
Top Bottom