Kwa mara nyingine tumeanza kwa vibaya tena.Tujipange mechi 5 zijazo tuondoke na ushindi
Game over na Arsenal wameanza vibaya kombe la mabingwa wa Ulaya.
Arsene Wenger ameidharau hii timu na kupelekea kufungwa, wapenzi wa Arsenal tuwe wakweli kwenye hili.
Game over na Arsenal wameanza vibaya kombe la mabingwa wa Ulaya.
Arsene Wenger ameidharau hii timu na kupelekea kufungwa, wapenzi wa Arsenal tuwe wakweli kwenye hili.
Kufungwa ni Kufungwa. Hamna cha dharau wala nini. Wenger alijaribu kushinda lakini mpira ndio hivyo. Alifanya sub 3 ili kubadili matokeo lakini haikuwa. Kudai dharau ni denial na kujaribu kuficha ukweli kwamba mpira unadunda na una matokeo matatu kushinda,kushindwa na kutoka sare.
Nakuunga mkono, tumefungwa kihalali kabisa na tungeweza fungwa hata nne. Hongera zao Dainamo Zagreb! Tujipange na Chelsea ambao watakuwa psyched up kwa mechi ijayo darajani.Kufungwa ni Kufungwa. Hamna cha dharau wala nini. Wenger alijaribu kushinda lakini mpira ndio hivyo. Alifanya sub 3 ili kubadili matokeo lakini haikuwa. Kudai dharau ni denial na kujaribu kuficha ukweli kwamba mpira unadunda na una matokeo matatu kushinda,kushindwa na kutoka sare.
Ni dharau bana!
Angechezesha timu iloshinda mechi za EPL Arsenal ingeshinda leo.
Ni dharau bana!
Angechezesha timu iloshinda mechi za EPL Arsenal ingeshinda leo.
Sio timu hiyo unayoisema ndio ilibamizwa na West Ham au pia ilikuwa dharau?Tuweni wakweli mpira unadunda.