Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

3345595.jpg


Ama kweli Paul Merson kachoka. Eti C.Palace watamaliza nafasi ya 5 juu ya majogoo. Jamaa anayadharau majogoo kiasi hiki cha kuyadharirisha hadharani lol. Hii itakuwa ni sawa na kusema Tanzania itakwalifai kucheza kombe la Dunia Urusi hahahaha.

Cc DonDonald, Nzi, Pazi, Belo, Herrera,Wacha1, Malafyale, RRONDO, everlenk

huyu jamaa watu wa sky huwa wanamuita magic man, watu wa betting huwa wanamtumia sana ila kuhusu C.Palace kuwa wa tano nina wasiwasi bora angewaweka Leicester ila makuku ya jiji kwenye hiyo nafasi sina wasiwasi, ila jamaa apunguze mahaba kwa arsenal, ana mahaba na arsenal hadi anaumwa, ukiniambia mi nipange kuanzia nafasi ya tano nitaweka hivi:

Leicester
Swansea
makuku ya jiji
spurs
SOTON
C.palace.
 
huyu jamaa watu wa sky huwa wanamuita magic man, watu wa betting huwa wanamtumia sana ila kuhusu C.Palace kuwa wa tano nina wasiwasi bora angewaweka Leicester ila makuku ya jiji kwenye hiyo nafasi sina wasiwasi, ila jamaa apunguze mahaba kwa arsenal, ana mahaba na arsenal hadi anaumwa, ukiniambia mi nipange kuanzia nafasi ya tano nitaweka hivi:

Leicester
Swansea
makuku ya jiji
spurs
SOTON
C.palace.

Hakuna cha Leicester City wala C. Palace nafasi ya 5 itagombaniwa kati ya timu hizi tatu Liverpool, Spurs,Swansea sitashangaa. Kusema kweli baada ya mechi 4 na baada ya kipindi cha usajili kuisha haviwezi kuashiria nani atabeba kombe au nani ataishia wapi. Man City wakifungwa mechi moja au mbili hawa pundits watabadilika na kuinyang'anya ubingwa waliokwishawapa
 
Hakuna cha Leicester City wala C. Palace nafasi ya 5 itagombaniwa kati ya timu hizi tatu Liverpool, Spurs,Swansea sitashangaa. Kusema kweli baada ya mechi 4 na baada ya kipindi cha usajili kuisha haviwezi kuashiria nani atabeba kombe au nani ataishia wapi. Man City wakifungwa mechi moja au mbili hawa pundits watabadilika na kuinyang'anya ubingwa waliokwishawapa

kikubwa kilichonifanya ni wape Leicester ni ukongwe na uzoefu wa kocha wao ranieri huyu mzee anaujua sana mpira, angalia toka kipindi yupo Chelsea na chelsea aliyoikabidhi kwa morinho na nadhani hata mafanikio aliyoyapata kiurahisi morinho yalitokana na timu iliyokua imejengwa na huyu mzee, alafu ukija kuangalia na mpira unaopigwa na Leicester ya sasa ni tofauti na ile ya msimu uliopita, bado nina wapa chance kubwa sana hawa jamaa ya kuwa juu ya livapuli ukiachilia mbali spurs.
 
3345595.jpg


Ama kweli Paul Merson kachoka. Eti C.Palace watamaliza nafasi ya 5 juu ya majogoo. Jamaa anayadharau majogoo kiasi hiki cha kuyadharirisha hadharani lol. Hii itakuwa ni sawa na kusema Tanzania itakwalifai kucheza kombe la Dunia Urusi hahahaha.

Cc DonDonald, Nzi, Pazi, Belo, Herrera,Wacha1, Malafyale, RRONDO, everlenk

Huo ni utabiri tu kama wewe ungesema Mgambo FC itachaukua ubingwa wa VPL.
 
Japo vigodoro vya hapa havinogi maana mkifungwa mnatia huruma sana ila leo mfungwe tuu. 1442033185528.jpg
Hahahaaaaaaaa.
 
Leo tena Wenger kaanza na Walcott kule mbele na Ozil amepona bila kusahau mabeki wetu mshahara Gaby Nacheza na Coscielyn kule nyuma.

Arsenal - Cech, Bellerin, Gabriel, Koscielny, Monreal, Cazorla, Ramsey, Coquelin, namba 9 ni Walcott, 11 Ozil, na 10 ni Sanchez

Stoke City- Butland, Bardsley, Cameron, Muniesa, Pieters, van Ginkel, Whelan, Shaqiri, Diouf, Arnautovic, na Joselu
 
Shuti la kwanza on target na Alexis Sanchez anagonga mwamba na mpira unakwenda nje. Mabeki wa Stoke City wanahamaki!
 
Arsenal bado wanamjaribu kipa wa Stoke Butland.

Dakika inakwenda ya 16
 
Back
Top Bottom