Hii ilikuwa ni counter attack ya Arsenal, Francis Coquelinn aliuzuia mpira katikati ya eneo la Arsenal akatoa pasi ndefu kwa Mesut Ozil ambae alimpasia Theo Walcott na Theo bila wasiwasi wowote ule akamalizia kazi hio.
Ni goli la kwanza kwa Theo Walcott ndani ya Emirates na kwa kweli inabidi Arsenal waendelee na mtindo wa counter attack kama Stoke City wataendelea na kujaza basi.
Pia Stoke City inabidi kumshukuru kipa wao Jack Butland ambae amezuia mipira mingi isiingie nyavuni kwa kupangua mashti ya Coscielyn na Alexis Sanchez na Ramsey.
Timu zinaingia uwanjani kuja kumalizia ngwe ya pili.
Na kama ilivyo kwenye msimamo wa ligi hivi sasa Arsenal inashika nafasi ya tatu, Stoke City nafasi ya 18 na Chelsea sehemu Fulani palepale chini kwenye msimamo huu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.