Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Dirisha la usajili Barani Ulaya limeanza kufungwa.

Ujerumani wamefunga saa 12 jioni hii na madirisha mengine ya nchi za Italy kufungwa saa 4 usiku, Spain na France saa 5 za usiku na haya ndio madirisha muhimu sana.
 
Dirisha la usajili Barani Ulaya limeanza kufungwa.

Ujerumani wamefunga saa 12 jioni hii na madirisha mengine ya nchi za Italy kufungwa saa 4 usiku, Spain na France saa 5 za usiku na haya ndio madirisha muhimu sana.

Naomba uliza, hivi dirisha likifungwa kwa mfano Spain bado liko wazi mtu kutoka?"
 
Naomba uloza ajuae, hivi dirisha lilifungwa kwa mfano Spain bado liko wazi mtu kutoka?"

Dirisha linafunga kwa wale ambao hata paperwork hazijajazwa lakini kama process yote imefanyika na imebakia kusubmit papers kwenye FA inaweza yote yanafanywa hata baada ya dirisha kufungwa.

Ni sawa wewe una duka lakini ikifika saa ya kufunga unageuza kibao kusema "Closed" badala ya upande wa "Open" lakini unaweza kuwa na wateja ndani ya duka ambao bado hawajalipia bidhaa.
 
Dirisha linafunga kwa wale ambao hata paperwork hazijajazwa lakini kama process yote imefanyika na imebakia kusubmit papers kwemye FA inaweza yote yanafanywa hata baada ya dirisha kufungwa.

Ni sawa wewe unanduka lakini ikifika saa ya kufunga unageuza kibao kusema "Closed" badala ya upande wa "Open" akini unaweza kuwa na wateja ambao bado hawajalipia bidhaa.

Okei, nimekupata!
Ila kwa mfano Spain wameshafunga, je ni ruhusa mchezaji mfano wa Atletico bilbao kwenda Swansea ya Uingereza ambako dirisha halijafungwa bado au nayo ni lazima angalau paperwork iwe ilishaanzishwa huko Spain kabla ya dirisha kubamizwa??
Lets say issue ya Benzema na Arsenal!
 
I think we are not going to rectruit anybody rather we will sell joe campbell
 
Okei, nimekupata!
Ila kwa mfano Spain wameshafunga, je ni ruhusa mchezaji mfano wa Atletico bilbao kwenda Swansea ya Uingereza ambako dirisha halijafungwa bado au nayo ni lazima angalau paperwork iwe ilishaanzishwa huko Spain kabla ya dirisha kubamizwa??
Lets say issue ya Benzema na Arsenal!

Yes ni sawa kwasababu dirisha la uingereza huwa linafungwa saa sita usiku.

Pia timu yoyote ya Uingereza inaweza kumsajili mchezaii kutoka ligi zingine za Ulaya, mfano Arsenal ilimsajili Mesut Ozil dakika za mwisho au Mikael Arteta ambae alitoa transfer request kwenye saa nne na nusu hivi kabla ya kwenda Arsenal.

Hivyo Dirisa la usajili katika nchi zingine za Ulaya linafungwa kwa timu za ndani ya nchi hizo na sio Ulaya nzima.
 
Wakuu mpo?

Mzee Wenger sasa ndio ameingia sokoni.

Tupo hapa tunaangalia huku na kule.

Kama nilivyokishaorodhesha wale wachezaji ambao Wenger amewaagiza Ivan Gazidis, Richard Low na Robert Grimandy wafanye hima kukamilisha usajili wa ama Karim Benzema ambae atagharimu milioni 50, Gonzalo Higuaín ambae atagharimu milioni 69.1, Julian Draxler, Edinson Cavani, Victor Wanyama na Alexandre Pato.

Kuna majina mengine ambayo ndio yanaingizwa kwenye tanuri la uchaguzi.

Yeyote kati ya hawa anaweza kunyakuliwa na Arsenal kwenye kipindi cha masaa 24 yajayo.

..naona bora Wenger amchukue wanyama;kwanza tum block asiende spurz coz ht ss tunahitaji kiungo mkabaji,thn kwa Wenger nadhani pia issue ya bei ataifurahia kuliko kumwambia atoe 69 mil. kwa higuain.!!
 
..naona bora Wenger amchukue wanyama;kwanza tum block asiende spurz coz ht ss tunahitaji kiungo mkabaji,thn kwa Wenger nadhani pia issue ya bei ataifurahia kuliko kumwambia atoe 69 mil. kwa higuain.!!

Wanyama is not gonna happen

Flamini mpaka auzwe
 
Haiitaji kutembelea hapo Wacha1 kwa kutazama previous game unajua
 
Last edited by a moderator:
Wanyama is not gonna happen

Flamini mpaka auzwe

Flamini alisajiliwa bure lakini kwa kuwa analipwa 60000 kwa wiki anadai alipwe pesa yote iliyo kwenye mkataba ili aondoke, lakini Arsenal walikwishamwambia ahitajiki.

Ila anaweza kuwa Auxiliarry player kwani Arteta yupo.
 
Okei, nimekupata!
Ila kwa mfano Spain wameshafunga, je ni ruhusa mchezaji mfano wa Atletico bilbao kwenda Swansea ya Uingereza ambako dirisha halijafungwa bado au nayo ni lazima angalau paperwork iwe ilishaanzishwa huko Spain kabla ya dirisha kubamizwa??
Lets say issue ya Benzema na Arsenal!

Spain wakifunga ni kwamba timu za Spain haziwezi sajili tena but wanaweza kuuza mchezaji nchi nyingine
 
Wakuu mpo?

Mzee Wenger sasa ndio ameingia sokoni.

Tupo hapa tunaangalia huku na kule.

Kama nilivyokishaorodhesha wale wachezaji ambao Wenger amewaagiza Ivan Gazidis, Richard Low na Robert Grimandy wafanye hima kukamilisha usajili wa ama Karim Benzema ambae atagharimu milioni 50, Gonzalo Higuaín ambae atagharimu milioni 69.1, Julian Draxler, Edinson Cavani, Victor Wanyama na Alexandre Pato.

Kuna majina mengine ambayo ndio yanaingizwa kwenye tanuri la uchaguzi.

Yeyote kati ya hawa anaweza kunyakuliwa na Arsenal kwenye kipindi cha masaa 24 yajayo.

Bado una imani na deal la Benzema, Real Madrid hawajasajili striker so hawawezi muuza Benzema na siku hizi ni ngumu sana kupata striker wako wachache sana
 
Ni kweli wakuu sababu ya Draxler ni kwamba Jack Wilshere bado ni majeruhi, na pale kwatikati bado pana nafasi ya kujaza.

Mbele kule Danny Welbeck bado nae ni majeruhi na hata kwenye mechi na Newcastle hakukuwa na mshambuliaj mwingine wa kuingia.

Draxler kishaenda Wolfsburg
 
Nilitoa hio entry kabla ya hii ulionukuu.

Halafu mkuu mbona mnasajili mshambuliaji umri miaka 19 kwa 58 milioni na Januzaj na Chicharito wanatimuliwa?

Nini kimewapata mnatutupa pesa namna hio?

Dah mkuu am speechless, huyu dogo Mara ya kwanza alikua anauzwa kwa €21 mill spurs walipeleka €18 walikataliwa na hiyo ilikua mwezi wa sita tu hapo, Monaco wakashtukia dili wakamsainisha mkataba mpya wa miaka mitano, leo hii tunakuja kuuziwa 58 mill kwa kinda kama huyo, wakati kuna mtu kama griezman ambaye bei yake ni 56 na tunaweza ku-bargain, januzaji, chicha, Evans, blacket, de gea wote wanaondoka ndani ya siku nne, yaani sielewi mkuu huyu mzee sijui ana mikakati gani I DONT KNOW, & I WILL NEVER KNOW.
 
Transfer Updates:

Wakati Deal la Karim Benzema likiwa tayari limekufa kutokana na Real Madrid kuwa wagumu kumuachia mchezaji huyo, meneja Arsene Wenger jioni hii ameenda Paris kuangalia uwezekano wa kufanya usajili wa dakika za mwisho.


Wenger akitafuta kiti ndani ya ndege kuelekea Paris jioni hii.

Wenger alikuwemo kwenye ndege iliokuwa ikielekea Paris jioni hii kutokea London.

Wachezaji ambao mpaka jioni hii walikuwa wakifuatiliwa ni mshambuliaji Edinson Cavani na kiungo mlinzi Adrien Rabiot ambao kwa pamja wanaweza kugharimu kiasi cha kama paundi milioni 65.




Basi tukutane kesho asubuhi kwa habari zaidi.
 
Transfer Updates:

Wakati Deal la Karim Benzema likiwa tayari limekufa kutokana na Real Madrid kuwa wagumu kumuachia mchezaji huyo, meneja Arsene Wenger jioni hii ameenda Paris kuangalia uwezekano wa kufanya usajili wa dakika za mwisho.


Wenger akitafuta kiti ndani ya ndege kuelekea Paris jioni hii.

Wenger alikuwemo kwenye ndege iliokuwa ikielekea Paris jioni hii kutokea London.

Wachezaji ambao mpaka jioni hii walikuwa wakifuatiliwa ni mshambuliaji Edinson Cavani na kiungo mlinzi Adrien Rabiot ambao kwa pamja wanaweza kugharimu kiasi cha kama paundi milioni 65.




Basi tukutane kesho asubuhi kwa habari zaidi.

Duh wenger anapanda economy class . Kweli mzee huyo noma
 
Back
Top Bottom