Leo ilikuwa ni siku pekee ambayo Arseanal walizawadiwa na mwamuzi ili waweze kufunga mabao yasiyopungua 5.Ander Marriner ametoa kadi sita za njano moja kwa Arsenal na 4 za njano na moja nyekundu kwa Newcastle.
Theo Walcott sio striker!
TANESCO pia wameniboaa balaa mpaka kura yangu wameikosa hivi hivi. Nimelipa buku kibanda umiza, nisu saa tu wameshakata umeme!! WAMENIUDHI sana.
Leo ilikuwa ni siku pekee ambayo Arseanal walizawadiwa na mwamuzi ili waweze kufunga mabao yasiyopungua 5.
Kwa uchezaji huu wa Arsenal mtasubiri miaka ingine 5. Man city anatandika timu zembe 3 tatu. Na Chelsea wangelizawadiwa nafasi hii ya kadi nyekundu mapema, tungelijikumbusha yale ya Chelsea 6 na Arsenal 0.
Kama muhimu kwenu ni pointi 3 tu, mmezipata lakini zitawasogeza tu kupigania nafasi ile ya Wenger, top what?
Arsenal tukiendelea hivi tutakuwa katika hali ngumu msimu huu.
Leo ilikuwa ni siku pekee ambayo Arseanal walizawadiwa na mwamuzi ili waweze kufunga mabao yasiyopungua 5.
Kwa uchezaji huu wa Arsenal mtasubiri miaka ingine 5. Man city anatandika timu zembe 3 tatu. Na Chelsea wangelizawadiwa nafasi hii ya kadi nyekundu mapema, tungelijikumbusha yale ya Chelsea 6 na Arsenal 0.
Kama muhimu kwenu ni pointi 3 tu, mmezipata lakini zitawasogeza tu kupigania nafasi ile ya Wenger, top what?