barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,802
Okei, asante sana kwa kunielewesha hilo.Yes ni sawa kwasababu dirisha la uingereza huwa linafungwa saa sita usiku.
Pia timu yoyote ya Uingereza inaweza kumsajili mchezaii kutoka ligi zingine za Ulaya, mfano Arsenal ilimsajili Mesut Ozil dakika za mwisho au Mikael Arteta ambae alitoa transfer request kwenye saa nne na nusu hivi kabla ya kwenda Arsenal.
Hivyo Dirisa la usajili katika nchi zingine za Ulaya linafungwa kwa timu za ndani ya nchi hizo na sio Ulaya nzima.