Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

weeee.png
mzee wenger sikia kilio cha watu wako bas....
 
Watu ambao hawajafundisha mpira hata wa chandimu wanamkashifu Le Prof wakati hawafahamu ni kocha pekee ambaye amekwenda msimu mzima bila kupoteza mechi. record ambayo haijavunjwa kwa miomgo 11 and still counting. ...... ... prof knows better and guess what share holders are happy with what he is doing, nilishachema hapa long time ago, kama humpendi Wenger hama timu chubiri akiondoka. Kudos Le Prof COYG.


2BC3F73600000578-3215157-image-a-140_1440853286682.jpg


Take that! Kudos Ox .... ... .

2BC3FDD200000578-3215157-image-a-146_1440854779751.jpg


2BC39D1400000578-3215157-image-a-104_1440849595841.jpg


The man of the moment ..... .. .

2BC3D73900000578-3215157-image-a-132_1440852047262.jpg


At his best .... ..
Coquelin
 
Ooops chijui kama hizi pics zitabakia hapa by end of the day, maana Invisible mungiki Brother huwa hazipendelei ukizingatia Chelsick wako mahututi.
 
Last edited by a moderator:
mara ya mwisho arsenal walikua mabingwa lini vile?! you are talking about invincible today! completely leaving in denial...no wonder arsenal haisogei kumbe kuna watu mpk leo more than 10 yrs still talking about invincible!!
#sick!
 
..kumsajili cavani ni ngumu wandugu,kwanza muda uliobaki ni mfupi sn wao watam replace na nani? vp kuhusu suala la bei,wale waarabu wana pesa za mafuta hawababaishwi na visenti wanaweza tutajia bei ya hatari kutukomoa2.
Navyoona Wenger anaweza sajili somebody ila atakua wakawaida,sio jina kubwa likija emirates kwa huu muda uliobaki.
 
Watu ambao hawajafundisha mpira hata wa chandimu wanamkashifu Le Prof wakati hawafahamu ni kocha pekee ambaye amekwenda msimu mzima bila kupoteza mechi. record ambayo haijavunjwa kwa miomgo 11 and still counting. ...... ... prof knows better and guess what share holders are happy with what he is doing, nilishachema hapa long time ago, kama humpendi Wenger hama timu chubiri akiondoka. Kudos Le Prof COYG.






Take that! Kudos Ox .... ... .







The man of the moment ..... .. .




At his best .... ..Coquelin
 
Wakuu mpo?

Mzee Wenger sasa ndio ameingia sokoni.

Tupo hapa tunaangalia huku na kule.

Kama nilivyokishaorodhesha wale wachezaji ambao Wenger amewaagiza Ivan Gazidis, Richard Low na Robert Grimandy wafanye hima kukamilisha usajili wa ama Karim Benzema ambae atagharimu milioni 50, Gonzalo Higuaín ambae atagharimu milioni 69.1, Julian Draxler, Edinson Cavani, Victor Wanyama na Alexandre Pato.

Kuna majina mengine ambayo ndio yanaingizwa kwenye tanuri la uchaguzi.

Yeyote kati ya hawa anaweza kunyakuliwa na Arsenal kwenye kipindi cha masaa 24 yajayo.
 
Transfer Updates:


Arsenal wamemkosa tena Julian Draxler ambae muda mfupi ulopita amekamilisha usajili na timu ya Wolfsburg ya Germany akitokea Schalke.
 
Transfer Updates:


Arsenal wamemkosa tena Julian Draxler ambae muda mfupi ulopita amekamilisha usajili na timu ya Wolfsburg ya Germany akitokea Schalke.

Mkuu Prof hakuwa na haja ya Draxler angecheza wapi? Magazeti na mafisi ya timu pinzani ndio yanawanga kila uchwao kutaka kumchagulia le Prof timu. Hatoki ntu hapo na mwaka huu watakiona kilichomtoa kanga manyoya .... ..... .. Tupo vizuri sana mark my words.
 
Wakuu mpo?

Mzee Wenger sasa ndio ameingia sokoni.

Tupo hapa tunaangalia huku na kule.

Kama nilivyokishaorodhesha wale wachezaji ambao Wenger amewaagiza Ivan Gazidis, Richard Low na Robert Grimandy wafanye hima kukamilisha usajili wa ama Karim Benzema ambae atagharimu milioni 50, Gonzalo Higuaín ambae atagharimu milioni 69.1, Julian Draxler, Edinson Cavani, Victor Wanyama na Alexandre Pato.

Kuna majina mengine ambayo ndio yanaingizwa kwenye tanuri la uchaguzi.

Yeyote kati ya hawa anaweza kunyakuliwa na Arsenal kwenye kipindi cha masaa 24 yajayo.
Wenger hachukuagi wachezaji waliomlingia kabla na umri umeshaenda hivyo kwa Higuian sidhani kama yupo kwenye mahesabu na hiyo price tag yake haiendani na kiwango chake, Wanyama will fit like a glove na Benzema ila Wenger sidhani kama anaweza toa hilo dau! Maybe Draxler ila tatizo yeye ni regular wa meza ya wagonjwa!
 
Ni kweli wakuu sababu ya Draxler ni kwamba Jack Wilshere bado ni majeruhi, na pale kwatikati bado pana nafasi ya kujaza.

Mbele kule Danny Welbeck bado nae ni majeruhi na hata kwenye mechi na Newcastle hakukuwa na mshambuliaj mwingine wa kuingia.
 
Kwan wenger anamtaka lukaku
Hamtaki ila naona kama angalau, nimesema hivyo kumaanisha kuwa kuna wachezaji EPL ambao tayari ni wazuri na bado wadogo!
Binafsi ningependa Benzema atue kuliko Cavani sababu anayoka angalau ktk ligi yenye 'upinzani'!
 
Back
Top Bottom